babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,906
Kwani tayari ghasia zimeanza?
Ruto akishinda zile ID za "Uhuru is overworking" zitapotea humu.
Kwani tayari ghasia zimeanza?
Sisi huku ni kama waarabu wao wanayo mafuta hawafanyi kazi Wazungu, Asians na Africans ndio wanaofanya kazi kule. Hapa sisi tuna chakula hatufanyi kazi Kenyans and rest of Africans wanatufanyia kazi wapeleke Remittances kwao kwenye shida ya chakula.Kama mmeshindwa kufanya kazi si tutawafanyia? We are hustlers.
Moja ni mabanda ya samaki ya enzi hizo nyingine ni history sababu zilishabomolewaImagine hiyo ni slum na ina nafuu kuliko hii middle class yenu. 🤣 🤣
![]()
![]()
Hela imeshatoka mkuu walisema kabla ya mwisho wa mwaka kazi itaanza.Kuna project inaendelea ya kubadilisha hili bonde la mto Msimbazi na kuwa makazi bora zaidi, siku ikisha haitakuwa na muonekano huu.
Serikali fanyeni hima hima tunachekwa hukukuona ni kuamini miradi ikikaa sana kwenye makaratasi unakuwa uzushi na ubabaishaji.
Project inaitwa MODERN CITY PARK AT MSIMBAZI.
Mji wa viwanda?Na vingunguti mnayoisema huku imeshanunuliwa yote wanajenga mji wa kisasa pale.
Apitie hapa project inaanza soon hela ipo tayari.Moja ni mabanda ya samaki ya enzi hizo nyingine ni history sababu zilishabomolewa
www.africa-press.net
Usijilinganishe na Waarabu wewe. Hivi hizo Uswazi zenu ulinganishe na haya majiji? Fanyeni kazi wacheni kuishi in delusions.Sisi huku ni kama waarabu wao wanayo mafuta hawafanyi kazi Wazungu, Asians na Africans ndio wanaofanya kazi kule. Hapa sisi tuna chakula hatufanyi kazi Kenyans and rest of Africans wanatufanyia kazi wapeleke Remittances kwao kwenye shida ya chakula.
Yani chocolate na coffee ndio inakutia kiwewe hivi? 🤣 🤣
Because Tz is giving you guys sleepless nights![]()
![]()
Wakenya bado sana.
Wakenya bado sana.
Ninyi nini mnagawa KQ locally produced? Rubani mpaka hostess nao importedYani chocolate na coffee ndio inakutia kiwewe hivi? 🤣 🤣
Vitu kama hivi ndio hawa jamaa wanataka kuringanisha na ule upuuzi wa Mombasa eti kisa lane 8 hawa jamaa wana utani wa ngumi aisee….!!
Naona sindano iliingia.Vitu kama hivi ndio hawa jamaa wanataka kuringanisha na ule upuuzi wa Mombasa eti kisa lane 8 hawa jamaa wana utani wa ngumi aisee….!!
Sasa unataka tusaidiane kwa lipi wewe nyang'au?😂Toxic relationship hatusaidiani ni kutakiana mabaya tu
Nimekubali packaging.