Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani yale magorofa mapya ya magometi kota ilikuaje.?
Nyinyi malazy mnangoja kufanyiwa kila kitu na serikali. Is that the reason jiji lenu limetekwa nyara na uswazi? Yani serikali ikujengee nyumba na wasipofanya hivyo utaendelea tu na maisha ya uswazi!!! So funny
 
Na vingunguti mnayoisema huku imeshanunuliwa yote wanajenga mji wa kisasa pale.
Imeshanunuliwa?! 😂😂😂 Alafu waliokuwa wakiisshi hapo sasa wanaishi juu ya miti au wameenda kuendeleza uswazi kwingine?
 
Itabidi Mungu atusaidie. Mimi niseme wazi tu kwamba ikiwa matukio fulani yatatokea itabidi niadimike humu JF. Nitakuwa nakuja mara moja moja tu ila sio kila siku.
Hata mimi naona mzee nafuatilia the way the numbers are trickling down kuna kitu hakijakaa sawa ni kama mtu ana extrapolate! Haihitaji rocket science kujua hilo, kingine number zimesimama kwa muda! Niwaombee tu!
 
Usijilinganishe na Waarabu wewe. Hivi hizo Uswazi zenu ulinganishe na haya majiji? Fanyeni kazi wacheni kuishi in delusions.
bbf8aa0b-city-9457-164d6a9147e.jpg
55670301_303.jpg
Dubai-United-Arab-Emirates-Burj-Khalifa-top.jpg
Nasikia eti serikali inawajengea nyumba! Hadi kuna mmoja ananiambia eti maghorofa ya Magomeni yamejengwa na serikali.

Nikikumbuka kwamba Nairobi maghorofa yapo almost everywhere (residential areas) mengi ni miradi ya watu binafsi nabaki tu nikicheka
 
Usijilinganishe na Waarabu wewe. Hivi hizo Uswazi zenu ulinganishe na haya majiji? Fanyeni kazi wacheni kuishi in delusions.
bbf8aa0b-city-9457-164d6a9147e.jpg
55670301_303.jpg
Dubai-United-Arab-Emirates-Burj-Khalifa-top.jpg
Tumia akili uliyopewa na Mungu kwani mimi nimelinganisha majiji ama nimelinganisha tabia za watu. Sometimes huwa sikusomi IQ yako naona iko below par.
 
Toxic relationship hatusaidiani ni kutakiana mabaya tu
Shida ni kwamba you live to look over your shoulders all the time mkiogopa Tanzania itawapita. Sisi hatuangalii mambo kama nyie the first, the biggest etc tunaangalia inclusiveness ya uchumi, economic diversification, availability of basic needs ( shelter, food and health,) na vitu vingine.
 
Nyinyi malazy mnangoja kufanyiwa kila kitu na serikali. Is that the reason jiji lenu limetekwa nyara na uswazi? Yani serikali ikujengee nyumba na wasipofanya hivyo utaendelea tu na maisha ya uswazi!!! So funny
We are socialist country remember that all citizens have their shares in the Government. It is a government of the people by the people and for the people unlike yenu shareholders wakubwa wa serikali ni capitalists the common people hawana chao ni kunyonywa tuu na kufukuzwa kwenye kila kitu kizuri mpaka kuishia kuishi kwenye slums with no food to eat.
 
Imeshanunuliwa?! Alafu waliokuwa wakiisshi hapo sasa wanaishi juu ya miti au wameenda kuendeleza uswazi kwingine?
Wamepewa hela ndefu at market prices those nearby the project wants to sell their houses too.
 
We are socialist country remember that all citizens have their shares in the Government. It is a government of the people by the people and for the people unlike yenu shareholders wakubwa wa serikali ni capitalists the common people hawana chao ni kunyonywa tuu na kufukuzwa kwenye kila kitu kizuri mpaka kuishia kuishi kwenye slums with no food to eat.
Huo ni uzembe, tena ya hali ya juu. Stop sugarcoating
 
Shida ni kwamba you live to look over your shoulders all the time mkiogopa Tanzania itawapita. Sisi hatuangalii mambo kama nyie the first, the biggest etc tunaangalia inclusiveness ya uchumi, economic diversification, availability of basic needs ( shelter, food and health,) na vitu vingine.
Hizo vitu zote mengi bado mpo nyuma sana. Your HDI figures are way below. Lakini kama ilivyo desturi yenu, utasema hayo ni maneno ya mzungu ya makaratasi
 
Huyo ni tajiri kuliko Wakenya wote lkn co kwamba ni tajiri kuliko East Africa nzima. Tajiri wa EA Mo Dewji pekee ana utajiri wa $2bn according to Forbes, hapo cjamtaja Bakhressa ambaye kiuhalisia ni tajiri kuliko Mo japo Forbes hawajui.
Anaelipa kodi kubwa ni Mohamed dewji hayo ya bakhressa ni mahaba tu unayo
 
Wamepewa hela ndefu at market prices those nearby the project wants to sell their houses too.
Wamepewa hela waende wajenge uswazi kwingoneko? Ndio maana bado mtaendelea kukuza uswazi kwenye jiji lenu. The best model is where the original landowners are given the first priority in such houses, sio kuwaondoa waendelee kuenda makazi duni kwingine.

That's what happened in the Kibera slum upgrading project. Too bad it stalled but I hope it will be revived by the next government. Wenyeji ndio walipewa first priority in that project. You own the house na unalipia polepole over a long period of time
 
Back
Top Bottom