Amari
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 974
- 2,144
Mkuu,View attachment 2318930
Mwanza central sgr station
Naomba picha na rendering za hiyo stations Kwa wingi kama unazo.
Mkuu,View attachment 2318930
Mwanza central sgr station
Mimi nimescreenshot hapa kwenye maelezo ya mkurugenzi, Sina chochote cha zaidiMkuu,
Naomba picha na rendering za hiyo stations Kwa wingi kama unazo.
The infrastructure and the level of cleanliness is unmatched in East and Central Africa

Naona wamechukua design ya MeliMimi nimescreenshot hapa kwenye maelezo ya mkurugenzi, Sina chochote cha zaidi
Angalia dk ya 4
and by da way, do u knw that the most advanced economy in africa, South Africa, is purely made by udongo!🤔 from capetown to pietermaritzburg, upington to east london. if u didn't knw now u knw.🤔🤣🤣🤣 Kwa haya magorofa ya udongo.?
hiyo ni porcelain si bati kama zenyu!and by da way, do u knw that the most advanced economy in africa, South Africa, is purely made by udongo!🤔 from capetown to pietermaritzburg, upington to east london. if u didn't knw now u knw.🤔
msije mkadhani hapa ni kenya, japo inakaa kenya sana. hapa ni capetown.
View attachment 2319521View attachment 2319522View attachment 2319523
alafu msisahau ile siku mliona mzungu aki serviwa na hizi sahani na vikombe. mlicheja sana!😆 mka dai eti, hizo zilitumika bongo miaka ya 70s, mbona bado zinatumika hadi sasa 2022, huku kenya na kule capetown.!!?🤔
View attachment 2319524View attachment 2319525
Kuna baadhi ya media wanasema raila anaongoza 😂😂😂Marafiki wa raila wako wap? Just a moment ago
Ruto for president!
Watasema tunawafitilia 😄 but i have much interest with Ruto being the pres
View attachment 2319548
aa wapi.!hiyo ni porcelain si bati kama zenyu!
Akishindwa Raila wajaluo watalianzisha. Hao wanajulikana kama warusha mawe na wang'oa reli; hawana mchezo ati.😂Kuna baadhi ya media wanasema raila anaongoza 😂😂😂
😂😂😂😂 sisi yetu machoAkishindwa Raila wajaluo watalianzisha. Hao wanajulikana kama warusha mawe na wang'oa reli; hawana mchezo ati.😂
Marafiki wa raila wako wap? Just a moment ago
Ruto for president!
Watasema tunawafitilia 😄 but i have much interest with Ruto being the pres
View attachment 2319548
ila nime kudaka mzee....😂😂😆hiyo ni porcelain si bati kama zenyu!
Percolain, is Vitreous China, and its more like glass. infact they break exactly the same way as glass when they fall on hard rocky surfacehiyo ni porcelain si bati kama zenyu!
Wanywa mataputapu utawajua tuuila nime kudaka mzee....
haya toa tofauti ya hiki kikombe in capetown, na hiki changu natumia hapa kenya
eti porcelain!.sijui Tony254 ako wapi aone hii..
saa zingine kubali tu matokeo jinsi yalivyo, sio kupinga tu kila wakati. hii tabia inakera mno. na yaonekana hii ni tabia halisi ya wabongo wote humu kasoro tuusan, 7seven na Walker255, inakera sana aisee..
Cape Town
View attachment 2319564View attachment 2319565
am currently in Eldoret rightnowView attachment 2319562



Kwanza inabidi kupatikane itikadi moja itakayounganisha nchi zote. China walikuwa na matatizo haya haya tuliyonayo leo, lakini Mao alipokuja aliamua kuwaunganisha wote kwa mkono wa chuma. Na sisi Inabidi tuwe na sheria kali za kuwaondoa wote wanaokwenda kinyume na itikadi bila kucheka na kima.*'
Kitu kimoja tunachotakiwa kufanya kama africa ni kuungana na kuwa na maamuzi ya pamoja, divide and rule inatutesa sana.
Mfano kwa pamoja tunasema sisi tutanunua mafuta ya mrusi, unafikiri sanctions ya bara lote la africa itawezekana kirahisi.
Chakula tulime sisi bei watupangie wao