Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeumia mjukuu.., hapa ni Makupa bridge!.., wakati Uhuru ana launch, hauni tent pale kati kati? hii imewauma kama vile expressway, nilisema na bado, mtalia zaidi siku zikiendelea., 8 LANES!🔥🔥🔥🔥🔥 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2315040
View attachment 2315042
🤣🤣 Hivi kweli kuna mtanzania ataumizwa na hizi dwarf strictures zenye ni out of fashion .. ajabu kweli.. Bongo hii hii enye inajenga 3.2 km over water cable stayed bridge enye 6 lanes iumizwe kichwa na hako ka bridge.? Kweli.? Ka mita kadhaa
 
Huyu jamaa REAL Comrade Kipepe ni mjinga sana. You are the most stupid person in this thread. Very primitive and shallow minded. Hio nyumba ni kali sana na huna hata aibu kuongea upumbavu humu. This is a high quality house and those people are living a high quality life. Wewe unachoweza ni kuwatukana but in reality you are living a much more inferior and destitute life than them. dyfre ignore some of these fools.
Mbona umekasirika hivyo Tony [emoji848][emoji848]
 
Stay away kabisa, nyambaff😂😂😂😂 kamekosa jibu ya 8 lanes eti dwarf, respect to Mombasa city, kichapo cha mbwa koko😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
How long is makupa outdated kinda bridge.?
 
🤣🤣 Hivi kweli kuna mtanzania ataumizwa na hizi dwarf strictures zenye ni out of fashion .. ajabu kweli.. Bongo hii hii enye inajenga 3.2 km over water cable stayed bridge enye 6 lanes iumizwe kichwa na hako ka bridge.? Kweli.? Ka mita kadhaa
...Kama wewe unavyoteseka, tulia hasira isikupande dogo., mkiona kitu kizuri Kenya mnahangaika sana kwa wivu, kwanza wakati mnakosa jibu of the same.., 8 lanes bridge hakuna Tanzania ni rahisi kukubali ukweli na tusenge mbele, hautapata ya kupost, mambo ya cable sijui nyef nyef ni vijisababu uchwara ya kukwepa hoja ilio mezani ya lanes, pumzika dogo😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mbona maumivu na iko wazi sana? ni kazi ya Uhuru Kenyatta, kamwana ame deliver! sio makosa yetu, zoea 8 lanes road (bridge) outside Nairobi.., Mombasa city, size ya Dar., 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2315028
View attachment 2315023
Wakati inajengwa.., unaona hiyo ni size ya ile foot path yenu?😂😂😂😂😂😂
View attachment 2315030
Ukiona The best 007 na Geza Ulole wamefika mahali pa kusema kwamba hii barabara sio ya Kenya ujuwe imewauma sana. Wao hawana 8 lane bridge so hawataki kukubali kwamba Kenya tunayo.
 
...Kama wewe unavyoteseka, tulia hasira isikupande dogo., mkiona kitu kizuri Kenya mnahangaika sana kwa wivu, kwanza wakati mnakosa jibu of the same.., 8 lanes bridge hakuna Tanzania ni rahisi kukubali ukweli na tusenge mbele, hautapata ya kupost, mambo ya cable sijui nyef nyef ni vijisababu uchwara ya kukwepa hoja ilio mezani ya lanes, pumzika dogo😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwanza jana chongchung na coodip1 walinidanganya eti Magufuli bridge ni 8 lane kumbe ni 6 lane. Wanatuona wajinga. Wao hawana 8 lane bridge. Wakitaka kuona the only 8 lane bridge in East and Central Africa wakuje Mombasa au waonee kwa TV.

Cc The best 007
joto la jiwe
 
Kumbe Kenya siku hizi mme change the driving system you now drive on the right !
This was launching ceremony, one side was closed, Uhuru was on the ground.., hauoni convoy ya magari na tent.., sisi sio wajanja na propagandist kama mlivyo ili kujikweza.., pendeni ukweli bana..,
1659700955008.png
 
...Kama wewe unavyoteseka, tulia hasira isikupande dogo., mkiona kitu kizuri Kenya mnahangaika sana kwa wivu, kwanza wakati mnakosa jibu of the same.., 8 lanes bridge hakuna Tanzania ni rahisi kukubali ukweli na tusenge mbele, hautapata ya kupost, mambo ya cable sijui nyef nyef ni vijisababu uchwara ya kukwepa hoja ilio mezani ya lanes, pumzika dogo😂😂😂😂😂😂😂😂
Sijaelewa bado 🤣🤣 hasa nitatesekaje mimi niliyezoea kuona madara marefu ya kisasa hapa DAR niteswe kweli na kadaraja kafupi kazamani .? (Dunia nzima ilishaachaga kujenga those kinda structures) 🤣 U ar not serious
 
Nakupa lisaa lizima na huwezi kupata jibu, mwenzako kaweka video ya makupa jua kali footbridge iko tofauti kabisa na hiyo bridge ya watu, ww utaniambia nini wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ameshikwa pabaya siyo?
Ngoja arudi maana umempa bonus ya muda kabisa.
 
Your understanding ndio Iko very poor. That 2030 duration is same as saying it will never materialize.
Wewe understanding yako ndio iko poor how can you mix quantitative na qualitative data and claim to be the same unless hujaenda shule properly.
 
This time round since tuumbue propaganda zao wako down sana, they lack worthy response.., tumewanyorosha, instead of responding from Tanzania wanatafuta picha za Kenya, siku hizi uongo imewashinda, tunaumbua haraka, wataanza kulaumu Samia Suluhu Hassan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakusanya picha za kikuvya bridge 12 lanes soon nitaweka hapa
 
Kwao ni vitu vya thamani sana hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] naakati bongo hivyo ni katika kila nyumba itakayojengwa na yeyote yule lazima iwe na tiles tena za kisasa
Ila aisee Tanzania tuna maisha mazuri sana, nikiangalia vitanda vya chuma ambavyo huku ni watu wanaoanzia maisha eti wao ni high class [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii project ni kubwa sana kilaza, bridge is just a part of the whole, ilianza mbali..., sasa imevuka bahari inaingia Island...,
View attachment 2315049
Imetoka dongo kundu.., ikapitia changamwe.., crossing Makupa couseway...,

View attachment 2315052
View attachment 2315054
View attachment 2315051
View attachment 2315053
🤣🤣🤣🤣 Usianze kuchanganya mafaili kaka, hapo tunazungumzia hako ka bridge tu, hatuzungumzii project yoyote nje ya hako ka bridge please usichanganye habari
 
🤣🤣🤣🤣 Usianze kuchanganya mafaili kaka, hapo tunazungumzia hako ka bridge tu, hatuzungumzii project yoyote nje ya hako ka bridge please usichanganye habari
Bridge ni 8 lanes.., iko wapi 8 lanes from Tanzania? kama unataka tuendele, weka hapa 8 lanes from Tanzania usitaje lolote, picha mezani?????....,
 
Bridge ni 8 lanes.., iko wapi 8 lanes from Tanzania? kama unataka tuendele, weka hapa 8 lanes from Tanzania usitaje lolote, picha mezani?????....,
How long is it.? Is it modern.? Hatuwezi linganisha apple na fenesi Bro eti kwa kigezo cha ukubwa 🤣, wacha kuwa mpuuzi, usijaribu kutaja hako kadaraja with what we have back home.. kaa kwakutulia
 
Back
Top Bottom