Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Mateso ni yale yale Bro 🤣🤣🤣 ni kama hamjafanya chochote level za makupa outdated kinda bridge hizi hapa 👇Bado ukweli unabakia pale pale 8 lanes Tanzania 0!
Mateso ni yale yale Bro 🤣🤣🤣 ni kama hamjafanya chochote level za makupa outdated kinda bridge hizi hapa 👇Bado ukweli unabakia pale pale 8 lanes Tanzania 0!
8 Lanes bridge: Kenya 1 Tanzania 0Mateso ni yale yale Bro 🤣🤣🤣 ni kama hamjafanya chochote level za makupa outdated kinda bridge hizi hapa 👇View attachment 2315113View attachment 2315114magufuli bridge 👇View attachment 2315115View attachment 2315116tho haya ni Madaraja marefu kuliko huo upuuzi wa makupa... Kufikia levels hizi 👇View attachment 23151173.2 km cable stayed bridge labda kwa vizazi vitano vijavyo hapo kenya...🤣🤣🤣.. sisi ndio wataalamu wa hizi kazi ukanda huu, no comparison
Wacha kujiongopea kijana 🤣🤣, hapa vipi.? 👇Miaka 25 mbele...,
View attachment 2315119
Kwa hivyo kwa akili yako kitanda cha chuma ni kibaya? Hivi unajua kwamba kuna kitanda cha chuma cha kifahari?Ila aisee Tanzania tuna maisha mazuri sana, nikiangalia vitanda vya chuma ambavyo huku ni watu wanaoanzia maisha eti wao ni high class![]()
👇
Kwa hivyo unajifanya kwamba huoni tent ya white hapo?One sise was closed wakati magari yako on both sides
Onyesha 8 lane bridge in Lazystan. Wacha mambo mengi.👇View attachment 2315141View attachment 2315142View attachment 2315143the one and only six Lanes interchange in the region
Onyesha three level interchange enye Iko na six lanes ndani ya kunyastan nitoke JF sasahivi 😎😎Onyesha 8 lane bridge in Lazystan. Wacha mambo mengi.
Dont be stupid how can you determine whether a car is moving or not on a picture? Naona shule zenu huwa zinatoa half baked students as you have demonstrated here.Are they moving kilaza?.., on the left, kwani hauoni it was a ceremony.., mbona mnatamani isiwe ni ukweli?.., ni chuki, wivu ama roho mbaya? ni nini huwa inawasumbua nyinyi watanzania? zoea ukweli bana..,
View attachment 2315066
Hahahaha. Naona umekimbia kujificha nyuma ya hio barabara yenu. Leo battle imekuwa moto kwenu.Onyesha three level interchange enye Iko na six lanes ndani ya kunyastan nitoke JF sasahivi 😎😎
Mwehu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Onyesha three level interchange enye Iko na six lanes ndani ya kunyastan nitoke JF sasahivi 😎😎
Hahaha. Amekimbia kujificha nyuma ya hio barabara yao coz battle imekuwa moto sana.Mwehu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Battle imekua moto kwetu kwa lipi mzee.? Makupa outdated kinda bridge au.?Hahahaha. Naona umekimbia kujificha nyuma ya hio barabara yenu. Leo battle imekuwa moto kwenu.
🤣🤣🤣 Nimecheka sana, msiwe mnalazimisha vitu ambavyo havipoHahaha. Amekimbia kujificha nyuma ya hio barabara yao coz battle imekuwa moto sana.
Umekasikirika.? 🤣🤣Mwehu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hiyo hapo hesabu ni lanes ngapi? Nataka nipime uelewa wako kidogo kwenye hili.Onyesha 8 lane bridge in Lazystan. Wacha mambo mengi.
Nina raha sana.., leo hii mnakosa jibu kwa mjadala mnatoka nje ya reli kiujanja ili kujikomboa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .,Umekasikirika.? 🤣🤣