Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kati ya MV UHURU na MV Mwanza gani Ina possibility ya kutoisha? MV Mwanza ilianza kujengwa 2019 na hata Bado haijafika 70%, MV Uhuru ujenzi ulianza last year na tayari inaenda kuanzia kazi mbele ya MV Mwanza.
Hizo ni ndoto za mchana, pamoja na kwamba SGR yenu ilikua ya kwanza kujengwa, lakini imekomea njiani, MV Mwanza ni passenger vehicle, it needs fine touches because it is very luxurious ship, lenu Hilo ni hall tupu halihitaji muda mrefu kulijenga

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Saidiana na wenzako mniambie hapa ni wapi View attachment 2314846
Wewe unaona ni wapi?.., hauamini macho yako? hapa ni Dar es Salaam mjukuu, tazama bahari., 😂 😂 😂 😂 😂 😂

1659692276518.png
 
Mbona kigeugeu sasa mara mseme haitakaa ijengwe now mnasema itaisha 2030 huu wivu ni mbaya sana
Your understanding ndio Iko very poor. That 2030 duration is same as saying it will never materialize.
 
Tumewaambia watuletee bridge yoyote Dar with 8 lanes na wameshindwa.
This time round since tuumbue propaganda zao wako down sana, they lack worthy response.., tumewanyorosha, instead of responding from Tanzania wanatafuta picha za Kenya, siku hizi uongo imewashinda, tunaumbua haraka, wataanza kulaumu Samia Suluhu Hassan😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hizo ni ndoto za mchana, pamoja na kwamba SGR yenu ilikua ya kwanza kujengwa, lakini imekomea njiani, MV Mwanza ni passenger vehicle, it needs fine touches because it is very luxurious ship, lenu Hilo ni hall tupu halihitaji muda mrefu kulijenga

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
From now henceforth you need to know that MV Uhuru II ndio the biggest in Lake Victoria followed by MV Kabaka Mutebi from Uganda. The third biggest is MV Uhuru I.
 
Good move kwa biashara yetu na Kazi nzuri ya Balozi Kairuki huko China 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220805-124846.png
    Screenshot_20220805-124846.png
    49.4 KB · Views: 11
Back
Top Bottom