Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilimo Biashara,ajenda 10/30.

Rais Samia kushuhudia utiaji Saini wa skimi za umwagiliaji 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220802-205444.png
    Screenshot_20220802-205444.png
    66.8 KB · Views: 8
If you took all banks in Tanzania, add all their income combined, you'll still not get to the income Equity or KCB generates alone.

Bongolala has no financial industry to speak of. Pesa ni ya madafu, GDP ni LDC..
It would only take a mad man to rank TZ higher than Kenya, and these mad men who did the analysis ranked even Burundi ahead of Kenya.
That is the joke of the decade.

Also, Tanzania already hosts the Headquarters and the parliament. Toshekeni na hizo.
Stop crying, EAC principle secretary is from Kenya, he has accepted the report, Kenya is a failed state.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
MV Mwanza ambayo huwa unatusumbua nayo hapa inabeba only 400 tonnes of cargo. Wakati MV Uhuru I inabeba 1,200 tonnes of cargo na MV Uhuru II inabeba 1,800 tonnes of cargo. Siku nyingine usirudie kupost picha ya MV Mwanza huku.
Mv mwanza hususan ni kwa ajili ya abiria inabeba zaidi y abiria 1200 na 400 tons of cargo uwe unatuliza akili kwanza 😂😂😂
 
Mara ooh.. Gari chache.. Mara chakavu..

Tanzania imepata award kama mmnunuzi namba moja Afrika.

Eicher kama zote.. Usafiri wa umma wa uhakika. Sio mafuso ya kuchanga. View attachment 2312210
Ile cku niligundua idadi ya petrol station Kunyaland haikaribii hata kidogo idadi ya petrol station Tz ndio cku niliyojuwa kwamba hatushikiki kabisa kwenye suala la magari.
 
Hii meli sio ya kitoto. Inabeba 1,800 tonnes of cargo. It is the biggest cargo ship in lake Victoria. Huo ndio ukweli mchungu kwa Watanzania wasioitakia Kenya mazuri. Ile meli ya Mwanza ambayo huwa unapenda kuisifia inabeba tonnes ngapi za cargo??? Hebu nikumbushe hahaha.
Kuona ni kuamini, cc Watz tunapenda mambo on ground, picha mbili za juu ni Mv Mwanza, picha ya tatu ni Mv kutu
tapatalk_1557472306_303x540.jpg
Screenshot_20220802-160210.jpg
Screenshot_20220802-141226.jpg
Screenshot_20220802-160450.jpg
 
MV Mwanza ambayo huwa unatusumbua nayo hapa inabeba only 400 tonnes of cargo. Wakati MV Uhuru I inabeba 1,200 tonnes of cargo na MV Uhuru II inabeba 1,800 tonnes of cargo. Siku nyingine usirudie kupost picha ya MV Mwanza huku.
Hizi hapa
tapatalk_1557472306_303x540.jpg
Screenshot_20220802-141226.jpg
 
Back
Top Bottom