Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,910
- 103,771
TBT
Le Grande Mopao enjoyed life!
Le Grande Mopao enjoyed life!
Lori mbili😂😂😂halafu itabeba malori na magari!
Usilazimishe tufanane, MV Mwanza imejengwa na wachina kuanzia mwanzo hadi mwishoKwani mtu anayebeba tofali au kushika nyundo site ndiye Engineer?
Hii c picha umeweka leo hii,unaikataa? Ok lete nyingine mana hii ishakutoa kamasiUnaleta article ya 2019 wakati MV UHURU II imeanza kujengwa 2021, is your brain really helping you?![]()






Lete picha.Usilazimishe tufanane, MV Mwanza imejengwa na wachina kuanzia mwanzo hadi mwisho
It will provide clean water to close to 1m households and it's not the only such dams we are building. Not every dam is built to generate electricitySo what's so special? How many MW of power is this dam producing? If it doesn't generate power then it is similar to cow ditch or some any other irrigation scheme! No need for unnecessary noises!
Kitu napinga ni hiyo article ya chini yenye ulieka.Hii c picha umeweka leo hii,unaikataa? Ok lete nyingine mana hii ishakutoa kamasiView attachment 2312401View attachment 2312402
Stop crying, EAC principle secretary is from Kenya, he has accepted the report, Kenya is a failed state.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Lete picha.
Hii ni MV Mwanza.?
Mmh Nairobi na kenya kwa ujumla ni kinyaaa aisee
Kuona ni kuamini, cc Watz tunapenda mambo on ground, picha mbili za juu ni Mv Mwanza, picha ya tatu ni Mv kutuView attachment 2312362View attachment 2312363View attachment 2312364View attachment 2312366




nimecheka sana hiyo Mv Kutu
China wameshaamua wana jambo lao
Wanataka kujichanganya ,waishie kuchezea na mataifa mengine kuna sehemu inabidi aachane nazo kabisa ,dunia ipo speedUS ikijichanganya kwa Chinaitabaki story tu
🤣🤣🤣 China inaweza kuisambaratisha US na dunia ikashangaaChina wameshaamua wana jambo lao
Dunia umepiga hatua nyingi mno tena hasa China Iko mbele kwa technology vibaya mno, huenda jamaa wako na technolojia kubwa sana kwenye masuala ya utengenezaji wa silaha na hawajaweka hadharani, US ikijichanganya utapata tabu na mchinaWanataka kujichanganya ,waishie kuchezea na mataifa mengine kuna sehemu inabidi aachane nazo kabisa ,dunia ipo speed