Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hold on, kwahyo tumepata 🏅 ya dhahabu kwenye kuogelea.?
La hamjapata dhahabu ya kuogelea. Hizo ni heats. Naona wengi wenu hamtazamani riadha. Mlazy hawezi kushinda swimming. Swimming wazungu ndio watashinda. Sana sana Australia na USA.
 
Mzigo unaongezeka sababu ya Samia au sababu bandari zimejengwa na kuboreshwa kipindi cha JPM?
Kazi nzuri Sana ya Kuifungua biashara inayofanywa na Rais Samia ndio inafanya mzigo inaongezeka kwa sababu biashara imeimarika..

Endeleeni kutokwa na mapovu ya makamasi.

Sio tuu bandarini bali na mzigo wa kwenye ndege 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220801-081555.png
    Screenshot_20220801-081555.png
    99.8 KB · Views: 23
  • Screenshot_20220801-081916.png
    Screenshot_20220801-081916.png
    86.4 KB · Views: 23
Hilo chizi hilo huwa tunali ignore mkuu, linakuambia mzigo umeongezeka kipindi cha Samia hapo hapo linajisahaulisha kwamba hizo bandari kazitengeneza JPM tena kipindi ambacho dunia inapitia hali mbaya ya uchumi kutokana na Corona.
Utatokea na mapovu ya makamasi hadi unakufa..

Mimi ni kama maji ,usiponinywa utaoga 😂😂
 
Weka mzigo unaotoka nje ya Kenya kama unazidi tons million 2 naondoka JF 😁😁😁😁

Mzigo wote huo unabaki kunyaland na ni misaada ya chakula
Hivyo ndivyo uliambiwa na sisiemu ama uko na udhahidi?
 
Mageuzi ya kufanya kilimo.kuwa cha kisasa yatafanikiwa chini ya Rais Samia.

Asante Tata 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220801-083623.png
    Screenshot_20220801-083623.png
    136.1 KB · Views: 26
Let us just pull out of this stupid thing called EAC. It is just nonsense. Upuuzi mtupu. Kenya being a financial hub tunaambiwa kwamba we are the least qualified to host EA monetary institute. The hatred against Kenya from some of these losers and lazybones is too much. Wivu na majungu dhidi ya Kenya. EAC has become irrelevant.
Financial hub ya jua kali kazi kupika data hatutaki msije mkaharibu uchumi wa EA kwa mapishi yenu. Halafu hamna ubavu wa kutoka EA kaeni mtulie dawa iingie kama hamtaki Central Bank iwe Tanzania sisi tunaanzisha CoW mta join baadae [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
La hamjapata dhahabu ya kuogelea. Hizo ni heats. Naona wengi wenu hamtazamani riadha. Mlazy hawezi kushinda swimming. Swimming wazungu ndio watashinda. Sana sana Australia na USA.
Unaumia ukiwa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom