Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I usually pity those Tanzanians that always try to compare Mombasa with Dar es salaam.


kumbe durban sio noma sana venye nilidhania 🤔

coz i still remember around 2003/04, we used to be told durban port, dwarfs mombasa port upto 12fold!!
na sasa....." hii dunia ni duara nanii.., usiwe na kibri....
aliye juu mngoje chini.

mpanda ngazi atakuta mwana si wake😆

asiyefunzwa na mamaye, mama yake sio 'madam'.

paka akiondoka, atarudi tena
maskini akipata hela, matter core huli
asiye kubali kushindwa, si nadhania wabongo tu jameni..

Screenshot_20220801-003729_Chrome.jpg
 
Mwaka wa kwanza tuu wa SSH mizigo imeongezeka mara dufu,Jiwe alikuwa anazingua Sana kwa propaganda..

Lakini inachoipa faida Mombasa port ni nguvu ya Uchumi wa Nchi yenu,the same to South Africa..

Tukikuza Uchumi,hiyo volume itaongeza..

Pia tuna bandari zingine so tukijumlisha kwa pamoja tunakaribia hiyo figure ya Mombasa.👇
Mzigo unaongezeka sababu ya Samia au sababu bandari zimejengwa na kuboreshwa kipindi cha JPM?
 
Hawa watalii kama vipi tuwapunguzie na jirani kdg
Tena heavy spenders sio backpackers kama wa jirani 😀😀😀

Mgeni anaekuja Tanzania anatumia minimum airports 3 mpaka 4 wakati yupo Tanzania, kunyaland akishuka tu JKIA atatumia gari tu kwenda mbugani kisha atarudi na gari back to JKIA na kurudi kwao, halafu wanashangaa kwanini mapato yetu ya utalii ni makubwa hata kipindi tunapokea wageni kidogo.
 
kumbe durban sio noma sana venye nadhania 🤔

coz i still remember around 2003/04, we used to be told durban port, dwarfs mombasa port upto 12fold!!
na sasa....." hii dunia ni duara nanii.., usiwe na kibri....
aliye juu mngoje chini.

mpanda ngazi atakuta mwana si wake😆

asiyefunzwa na mamaye, mama yake sio 'madam'.

paka akiondoka, atarudi tena
maskini akipata hela, matter core huli
asiye kubali kushindwa, si nadhania wabongo tu jameni..

View attachment 2310501
Mzigo huo Mnahudumia nchi ipi ya jirani sasa hata tons million 2? 😀😀😀😀
 
Mtaenda wapi? Mkiambiwa the only city hapo Kunyaland ni that filthy dirty Nairobi mnabisha! Ona sasa Arusha imeipita Nairobi by far!
unasema nairobaa the only city, il hali ata mji kama mombasa hamna..
nb:
ni tz ndo nchi yenye jiji moja tu! in a land mass 947,000km²

Screenshot_20220724-070119_YouTube.jpg
Screenshot_20220724-065748_YouTube.jpg
Screenshot_20220724-064743_YouTube.jpg
 
Mzigo unaongezeka sababu ya Samia au sababu bandari zimejengwa na kuboreshwa kipindi cha JPM?
Hilo chizi hilo huwa tunali ignore mkuu, linakuambia mzigo umeongezeka kipindi cha Samia hapo hapo linajisahaulisha kwamba hizo bandari kazitengeneza JPM tena kipindi ambacho dunia inapitia hali mbaya ya uchumi kutokana na Corona.
 
Tena jana kuna wazungu walikuwa wamekata tiketi ya kwenda Kilimanjaro lkn walisema walikata tiketi hiyo kwa bahati mbaya kwahiyo walitaka kubadilisha waende Arusha, ila kwa bahati mbaya ndege ya Arusha ilikuwa imejaa, hivyo tukawashauri waende tu Kilimanjaro alafu wakifika pale wachukue gari faster wataingia Arusha. Hapo unaweza kuona yn Tz kuna Airpot nyingi mpk raha aisee
😀😀😀 Yaani mazingira yanawalazimisha kuspend na wanapenda sababu ni sehemu ya utalii, hapo KIA penyewe wakifika unakuta nusu ya abiria kwenye ndege wanakula mwewe kwenda Soronera moja kwa moja na wengine wanatumia gari.
 
Back
Top Bottom