Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes kwani hukuona au unataka nipost tena

Unaona kama GTC inaweza kosa elevators. 😂😂😂 wacha ushamba.
We unajielewa.? 🤣🤣🤣, hapa hatuzungumzii elevator ndani ya jengo mzee, hapa tunazungumzia footbridge yenye Iko na elevator yake enyewe ya kujitegemea kama hivi yani 👇
IMG_20220729_100718_305.jpg
huko kwenu hakuna mzee.. 🤣🤣🤣 usilazimishe vitu mjomba
 
yaani wakilipuana ni vita ya tatu ya dunia maana the US itabidi a-concentrate na China, Japan ataingilia pia upade wa the US wakati Europe itabidi washughulike na Russia peke yao! Mitaa ya middle east kuna Iran lazma alianzishe na Israel au Saudi Arabia!
Hizi mchaka mchaka siyo poa kwa kweli
 
tunataka elevators dedicated to footbridge si za jengo!
Kumbe hata hujui vile GTC imejengwa. 🤣🤣🤣 Ghorofa zikona elevators zake kando. Anagalia hii render hapa utoe ujinga. Wabongo munakuanga washamba sana walai. 🤣🤣🤣
images (1).jpeg
 
Kumbe hata hujui vile GTC imejengwa. 🤣🤣🤣 Ghorofa zikona elevators zake kando. Anagalia hii render hapa utoe ujinga. Wabongo munakuanga washamba sana walai. 🤣🤣🤣
View attachment 2309801
🤣🤣🤣🤣🤣 Umeshakula kwanza .? Isije ikawa unasumbuliwa na njaaa wewe
 
🤣🤣🤣 umekosa comeback na vile ulianza na kiherehere.
We famba Wacha kulazimishaga vitu wewe, can't you see the difference from these pictures .? 👇
1659161991528.jpg
hii bridge ya yenyu haina elevator usifosi 🤣🤣🤣, labda utaonyeshe ona kitu hiki 👇
IMG_20220729_100718_305.jpg
footbridges zenu zinakaa hivi tu 👇👇
bridge.jpg
🤣🤣🤣🤣 hakuna elevator
 
Nimeshangaa sana wabongo wanaleta mada za kishamba sana. Hadi Nairobi Terminus SGR ikona elevator footbridge.
images (2).jpeg


Kumbe hizi vitu ndio zimefika bongo sahii. 🤣🤣🤣 wabongo ni washamba sana.
 
Back
Top Bottom