Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_0503.jpg
 
Hizo ni lugha za kidiplomasia, hakuna msaada hapo. Unafikiri Ukraine wanapewa misaada

Kwahiyo hujui CDC na USAID na Mashirika mengine ya Marekani hujui wanayofanya hapa Tanzania?, Kama wewe hujawahi kufanya kazi serikalini basi huna hata rafiki yako mmoja umuulize?, Kwahiyo Marekani hawatoi pesa yoyote kusaidia serikali masikini duniani?.

Mkuu usiendelee na huu mjadala, utajivua nguo.
Hii dunia ni zaidi ya uionavyo, na wewe hapa ndiyo unajivua nguo kwa kuonekana ulivyo naive au inawezakana unafanya hivi makusudi tuu kwa maslahi fulani.
 
Kenya nyie ni ndugu zetu wa damu kabisaa, kwenye mambo ya msingi huwa hatukosi support yenu. View attachment 2308706
Mganda nae anaota ndevu sasa, nguvu za kupimishana misuli na Baba yake kazitoa wapi?

Tanzania imechaguliwa sababu ndio yenye the most authentic central bank system in the community. Branch of Uganda central Bank aside from Kampala, where else?
 
Kenya nyie ni ndugu zetu wa damu kabisaa, kwenye mambo ya msingi huwa hatukosi support yenu. View attachment 2308706
Aaah mlungula utakuwa umepenya! Yaani kunyaland iunge mkono EACB iwe Tanzania? Ila on a serious note Tanzania deserves to host the institution based on her recommended macroeconomic policies and sound monetary policies! Inflation has been the lowest in the among all members and the whole region.

Nilitaka kushangaa ati Kunyaland i-support EAMI iwe Tanzania!
 
Kuweka picha sio lazima what I speak or write is based on pure experience not fantasies like most of Kenyans here. I highly respect people who tell the truth.
Ni ngumu kuamini maneno ya mtu bila mtu kuweka evidence. Unajua watu wengi ni waongo humu ndani. Maneno maneno tu hayatoshi.
 
Back
Top Bottom