Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tony254 ni wastani wa ndege 130 na zaidi ya abiria 1000 are landing on Arusha Airport daily

Sawa na Boeing 747-8 kutua kila siku mara 2 Arusha alone

images - 2022-07-30T091743.484.jpeg


Nijalie hali ya Mombasa Airport nataka nimalizie tafiti zangu 😁😁😁😁

 
Charity begins at home , tatizo la homelessness ni kubwa sana nchini kwake. Ktendo cha yeye kuacha kusaidia jamii yake huku akijitia usamaria mwema Afrika, ni swali la kujiuliza.
Kwahiyo hii misaada yote inayotolewa na serikali ya Marekani duniani kila mwaka inayozidi mabilioni ya Dola za Marekani kila mwaka, mbona usiiseme serikali ya US ambayo ndiyo yenye jukumu la kusaidia raia wake badala yake unamsema mtu binafsi ambaye hawajibiki kisheria?.

Serikali ya Marekani ndiyo yenye kukusanya Kodi za wamarekani ili kuwahudumia raia wake, huyo Bill Gate pia analipa Kodi kubwa kwa mwaka, lakini serikali hiyo hiyo ya Marekani ndiyo inayo ongoza kuchangia WHO na UN bodies zote duniani, Hilo unadhani ni sahihi, Marekani ndiyo inayo ongoza kutoa misaada Dunia nzima, mbona husemi "charity begins at home", ila mtu binafsi akifanya vile apendavyo kwako sio sawa.

Nimekupa mfano wa watu maarufu Kama Elton John, anatoa scholarships nyingi duniani kote, mbona husemi "charity begins at home?". Mkuu wenzetu wameshavuka hiyo hatua ya maisha, hivi wewe unafurahishwa na watu Kama "Floyd Myweather ambaye umaarufu na utajiri wake hauna msaada wowote zaidi ya umaarufu na kujisifu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
👍👍👍👍

Kinanuka pretty soon! Ngoja tuone kama the US watapita kibabe kuelekea Taiwan! Biden is a mad man kutaka kuzuia Taiwan isirudi mainland China!

Ngoja tuone ziara ya Pelosi Taiwan ambayo China imekataa aikanyage Taipei na US wamesema ataenda kwa kusindikizwa na jeshi!

The US wanaamini wanaweza kukianzisha pande mbili ila kitakachowapata hawataamini! Wakati wakishughulika na China, Russia itachukua the whole Europe!

 
Kwahiyo hii misaada yote inayotolewa na serikali ya Marekani duniani kila mwaka inayozidi mabilioni ya Dola za Marekani kila mwaka, mbona usiiseme serikali ya US ambayo ndiyo yenye jukumu la kusaidia raia wake badala yake unamsema mtu binafsi ambaye hawajibiki kisheria?.

Serikali ya Marekani ndiyo yenye kukusanya Kodi za wamarekani ili kuwahudumia raia wake, huyo Bill Gate pia analipa Kodi kubwa kwa mwaka, lakini serikali hiyo hiyo ya Marekani ndiyo inayo ongoza kuchangia WHO na UN bodies zote duniani, Hilo unadhani ni sahihi, Marekani ndiyo inayo ongoza kutoa misaada Dunia nzima, mbona husemi "charity begins at home", ila mtu binafsi akifanya vile apendavyo kwako sio sawa.
Hizo ni lugha za kidiplomasia, hakuna msaada hapo. Unafikiri Ukraine wanapewa misaada?
Nimekupa mfano wa watu maarufu Kama Elton John, anatoa scholarships nyingi duniani kote, mbona husemi "charity begins at home?".
Sijasema chochote kuhusu huyo kwasababu sijafuatilia sana anatoa "misaada" gani.
Mkuu wenzetu wameshavuka hiyo hatua ya maisha, hivi wewe unafurahishwa na watu Kama "Floyd Myweather ambaye umaarufu na utajiri wake hauna msaada wowote zaidi ya umaarufu na kujisifu?
Angalau, Floyd siyo mnafiki, huyo jamaa yako Gates anatuletea mpaka mbegu za GMO wakati Afrika tulikuwa poa tuu na mbegu zetu za asili. Ona Obesity inavyoongezeka miaka ya hivi karibuni Tanzania.

Kuna study Marekani ilifanyika kuonesha jumla ya virutubisho vya matunda matano (nafikiri apple) ya sasa ni sawa na tunda moja la miaka ya 1800s. Yaani hizi mbegu za kisasa zinaupungufu mkubwa sana wa virutubisho.

Study nyingine kwa wanaume wa kimarekani imeonesha ki wastani wana 50% tuu ya testosterone, ukilinganisha wanaume miaka 50 iliyopita. Organization ya Bill Gates imeshawishi serikali nyingi za Afrika kutumia mbegu za kisasa (GMO). Kwa nini?
 
Sasa kwa sababu unataja majina ya streets za London sasa unafikiri hio inaprove kwamba umefika London? Sasa ukitaja Trafalgar square hio haimaanishi chochote ndugu. Weka picha yako ukiwa majuu. Wengine wetu tumeshaweka na tunaweza kuweka tukiulizwa. Mwenzako Walker255 ameshaweka picha yake ya breakfast ya maple syrup. Wewe unapiga tu mdomo badala wewe pia uweke picha ili muendane sawa. Otherwise huyo Walker255 sio mtu wa ligi yako. Wewe baki ukibishana na rika yako akina joto la jiwe ambao walianguka mtihani wa form 4.
Hizo nyingine naona za mwanzo hazikufunguka vzr umeona na Trafalgar Square hapo? View attachment 2308598
20220730_073656_mfnr.jpg
20220730_073427_mfnr.jpg
20220730_072826_mfnr.jpg
 
Sasa kwa sababu unataja majina ya streets za London sasa unafikiri hio inaprove kwamba umefika London? Sasa ukitaja Trafalgar square hio haimaanishi chochote ndugu. Weka picha yako ukiwa majuu. Wengine wetu tumeshaweka na tunaweza kuweka tukiulizwa. Mwenzako Walker255 ameshaweka picha yake ya breakfast ya maple syrup. Wewe unapiga tu mdomo badala wewe pia uweke picha ili muendane sawa. Otherwise huyo Walker255 sio mtu wa ligi yako. Wewe baki ukibishana na rika yako akina joto la jiwe ambao walianguka mtihani wa form 4.
Na hiyo hapo nyingine ya baadhi ya vyuo nilivyosomea.
20220730_073050_mfnr.jpg
 
Hizo ni lugha za kidiplomasia, hakuna msaada hapo. Unafikiri Ukraine wanapewa misaada?

Sijasema chochote kuhusu huyo kwasababu sijafuatilia sana anatoa "misaada" gani.

Angalau, Floyd siyo mnafiki, huyo jamaa yako Gates anatuletea mpaka mbegu za GMO wakati Afrika tulikuwa poa tuu na mbegu zetu za asili. Ona Obesity inavyoongezeka miaka ya hivi karibuni Tanzania.

Kuna study Marekani ilifanyika kuonesha jumla ya virutubisho vya matunda matano (nafikiri apple) ya sasa ni sawa na tunda moja la miaka ya 1800s. Yaani hizi mbegu za kisasa zinaupungufu mkubwa sana wa virutubisho.

Study nyingine kwa wanaume wa kimarekani imeonesha ki wastani wana 50% tuu ya testosterone, ukilinganisha wanaume miaka 50 iliyopita. Organization ya Bill Gates imeshawishi serikali nyingi za Afrika kutumia mbegu za kisasa (GMO). Kwa nini?
Kwahiyo hili la serikali ya Marekani kutosaidia raia wake ambao ni homeless badala yake unataka raia mmoja afanye hivyo umeamua kuliweka Kando na Sasa umekuja na mbegu za GMO sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mzee wa vyuo vya Czech Tony254 umeona watu wametulia na vyeti vyao?
Hawa wakenya ni watu wa kupenda sifa, lakini hawatuwezi kwa lolote, ukiacha Mimi wa form 4 failure, hakuna mtanzania yeyote hapa wanamfikia kwa Elimu na uwezo wa akili, Hilo linajidhihirisha wazi kwenye posts za hapa JF.
Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hizo ni lugha za kidiplomasia, hakuna msaada hapo. Unafikiri Ukraine wanapewa misaada?

Sijasema chochote kuhusu huyo kwasababu sijafuatilia sana anatoa "misaada" gani.

Angalau, Floyd siyo mnafiki, huyo jamaa yako Gates anatuletea mpaka mbegu za GMO wakati Afrika tulikuwa poa tuu na mbegu zetu za asili. Ona Obesity inavyoongezeka miaka ya hivi karibuni Tanzania.

Kuna study Marekani ilifanyika kuonesha jumla ya virutubisho vya matunda matano (nafikiri apple) ya sasa ni sawa na tunda moja la miaka ya 1800s. Yaani hizi mbegu za kisasa zinaupungufu mkubwa sana wa virutubisho.

Study nyingine kwa wanaume wa kimarekani imeonesha ki wastani wana 50% tuu ya testosterone, ukilinganisha wanaume miaka 50 iliyopita. Organization ya Bill Gates imeshawishi serikali nyingi za Afrika kutumia mbegu za kisasa (GMO). Kwa nini?
Hizo ni lugha za kidiplomasia, hakuna msaada hapo. Unafikiri Ukraine wanapewa misaada

Kwahiyo hujui CDC na USAID na Mashirika mengine ya Marekani hujui wanayofanya hapa Tanzania?, Kama wewe hujawahi kufanya kazi serikalini basi huna hata rafiki yako mmoja umuulize?, Kwahiyo Marekani hawatoi pesa yoyote kusaidia serikali masikini duniani?.

Mkuu usiendelee na huu mjadala, utajivua nguo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo hili la serikali ya Marekani kurosaidia raia wake ambao ni homeless badala yake unata raia mmoja afanye hivyo umeamua kuliweka Kandi na Sasa umekuja na mbegu za GMO sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe ndiyo umekuwa ukishikilia bango neno "misaada", na mimi nikasema hiyo ni lugha tuu, hakuna msaada hapo. Na Serikali ya Marekani inawajibu wa kuondoa tatizo la homelessnes kwa kuwa limezidi kuongezeka. Nadhani nimeeleweka.

Sasa tukirudi kwa Bill Gates, unafikiri ni kwa nini anatoa "misaada" kwenye sekta afya na chakula?
 
Back
Top Bottom