Google ya nn? Tumalizane tu hapa hapawacha nisikujibu ila nenda tu kwa gugo, utapata jibu uko








Nyinyi mnavyokuwa mna ban kampuni za Tz kuja kuwekeza Kenya huwa mnafuata sheria zenu?Mbona ulikuwa unadanganya kwamba kesi ingepelekwa kortini na wapewe fursa ya kulipa fine? Nyinyi hamfuati sheria yenu. Mnapiga mnada bila kuwapa fursa ya kulipa fine. You are a shit hole country.
Byuti ByutiWakenya angalien hii video.. the longest bridge in East and Central Africa












Magufuli alipeleka kortin na walitozwa fine wakashindwa kulipia, lakini tulichokipata toka kwenu hata baada ya kufuata Sheria zote na lawama za kijinga, tumegundua ninyi hamna shukurani kwahiyo hivi Sasa tinafanya tupendavyo, hasa baada ya kitendo cha Ngorongoro na Loliondo.
Lengo ni kuwakomesha na sio vinginevyo, kinachofuata Kama mkiendelea kuleta mifugo yenu ni kuwapiga risasi, hatutaki ujinga wenu huku Tanzania
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app











Wewe render c huwa zinakuumiza macho?Wanajifanya hawajaona. Kenya sio ligi yao.
Jamaa kaamua afe na project moja from Monday to Sunday







Haya picha za jana hizo hapo kuna Lundo la uchafu










Sisi huwa ni wastaarabu na waungwana tatizo lenu huwa mnatuchokoza sana, sasa tukijibu mnatuona wabaya.Nchi gani nyingine inafanya upuuzi kama huo wenu? Taja hata nchi moja. Wahuni nyie. Hamjastaarabika.
Alisema au umemuangushia tofali tuWewe render c huwa zinakuumiza macho?






Kuna njia kubwa ya umeme inajengwa kutokea Singida via Arusha to Namanga ndio unakuja huo kwenu. Kaeni tayari kuupokeaHatuwezi nunua umeme kutoka kwenu.


Chuki ni mdudu mbaya sana. Mwanaume mzima unakosoa chakula ninachokula?Hamna breakfast hapo sio english wala continental sijui ni nini unakula.