Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20220729_150330.png
20220729_150306.png
 
Magufuli alipeleka kortin na walitozwa fine wakashindwa kulipia, lakini tulichokipata toka kwenu hata baada ya kufuata Sheria zote na lawama za kijinga, tumegundua ninyi hamna shukurani kwahiyo hivi Sasa tinafanya tupendavyo, hasa baada ya kitendo cha Ngorongoro na Loliondo.

Lengo ni kuwakomesha na sio vinginevyo, kinachofuata Kama mkiendelea kuleta mifugo yenu ni kuwapiga risasi, hatutaki ujinga wenu huku Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nchi gani nyingine inafanya upuuzi kama huo wenu? Taja hata nchi moja. Wahuni nyie. Hamjastaarabika.
Sisi huwa ni wastaarabu na waungwana tatizo lenu huwa mnatuchokoza sana, sasa tukijibu mnatuona wabaya.

Anayeanza huonekana mbaya ila anayemalizia ndiye huonekana mbaya zaidi.

Ili twende sawa tutendeane mema. Ila hakuna Mtanzania anyekubali kuwa mnyonge kwa mwenzake. Sote tuheshimiane hapo tutaenda sawa.
 
Hamna breakfast hapo sio english wala continental sijui ni nini unakula.
Chuki ni mdudu mbaya sana. Mwanaume mzima unakosoa chakula ninachokula?

Waffles na maple syrup pembeni ni breakfast ya kawaida sana Marekani.

Wewe umekula nini asubuhi?
 
Back
Top Bottom