Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 22,104
- 31,353
Mimi mwenyewe ninazo 3 na sija chanja wala sijawai kuziona chanjoKuna watu kibao hawajachanja lakini wana certificate, chezea tz
Mimi mwenyewe ninazo 3 na sija chanja wala sijawai kuziona chanjoKuna watu kibao hawajachanja lakini wana certificate, chezea tz
Niwe mkweli bwana Tony sijaona chochote kutoka Tatu city zaidi ya ghorofa tano kapost Teargas na hizo shule mbili basi nasema ukweli wala sitanii, ila sio kwa ubaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Point yangu ya kushiriki kwenye hii battle haikuwa kuprove kwamba Tatu city inaweza shindana na Dodoma. Najua Dodoma ni kubwa. Point yangu ilikuwa ni kuwaonyesha tu kwamba Tatu city sio kichaka kama mlivyokuwa mnafikiria. Sama boy 255 alikuwa ameidharau Tatu city sana, nadhani nimekufungua akili kidogo. Tatu city imeanza kujengwa miaka 6 iliyopita so bado ina mwendo mrefu ili kufikia levels za city zingine. Ila ujenzi uliofanyika ndani ya Tatu city kwa miaka 6 pekee ni mkubwa sana.
Wacha battle iishe kwa maana hatuwezi kulinganisha Tatu city na Dodoma city kwa ukubwa. Haimake sense ila kwa quality ya facilities basi Tatu city inaendana bega kwa bega na city yoyote ile. Ipe Tatu city miaka ishirini tuone itakuwa imefika wapi kwa maana Dodoma city imejengwa kwa miaka zaidi ya 30 ili ifikie hapa ilipo sasa hivi. Wacheni battle iishe. Bora mumejifunza kuwa Tatu city sio kichaka kama mlivyokuwa mnafikiria.
The best 007 chongchung Sama boy 255
xng hua
coodip1
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa wewe leo hii umekuwa daktari? Wewe mbona huwa una kimbele mbele sana? Hahaha. Kesho utakuwa pilot sio? Utatuonyesha jinsi ya kuendesha ndege. Teargass usibishane na huyu jamaa. Yeye ni expert wa kila jambo.
Tatu city haina industries mbili.Tatu City haina facilities zenye zitaifanya uende bega kwa bega na city yoyote hapa EA tu mzee, mtaa wenye two schools, two industries and less than 1k people utaitaje City .? Haiwez pata hadhi ya town, Tatu is just a village with industries and two international schools, usiite tena City, Tatu has at least 100 years to achieve City status, kama ni kongani za viwanda (industrial parks) zipo mbili Pwani underway na hatuwezi ita cities
sasa wewe Mkunya si ulete evidence ya industries zinazofanya kazi! List them!Tatu city haina industries mbili.
Pictures are just enough to answer you. I want you to count as I post. This one is complete and already working.sasa wewe Mkunya si ulete evidence ya industries zinazofanya kazi! List them!
Are you counting with me?sasa wewe Mkunya si ulete evidence ya industries zinazofanya kazi! List them!
Bado ziko mbili?sasa wewe Mkunya si ulete evidence ya industries zinazofanya kazi! List them!
Arusha airport ipo busy kuliko Mombasa na Kisumu airportsHii sasa ipo sawa.
Mbona unakuja kwa kunyata? Battle ikichanganya unakimbia [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Even if you look at the quality of houses in these two places you will see that Tatu has better and high quality houses than Dodoma.
Tatu
View attachment 2306135
Dodoma
View attachment 2306137
Hizi huzitaki?Even if you look at the quality of houses in these two places you will see that Tatu has better and high quality houses than Dodoma.
Tatu
View attachment 2306135
Dodoma
View attachment 2306137
Underrated Mlimani city mall [emoji116]View attachment 2305883View attachment 2305884View attachment 2305887View attachment 2305888View attachment 2305896
Asante Sana kwa kunikumbusha, nilitaka kumaanisha "stroke volume", hapo nimechanganya kidogo.Sasa ona unajiabisha kwa fani ambayo sio yako. Mbona usikubali kupata masomo kutoka kwa Teargass na tuusan watu ambao wanafanya kazi kwenye health sector. Sasa neno "tidal volume" umeitumia kimakosa. Tidal volume haihusu damu bali inahusu hewa inayopitia kwenye lungs.
View attachment 2305976
And which number is more important between the upper and the lower reading.. i hear in the 1970s, 1980s and part of 1990s.. the lower reading was taken as more important, and thts where all clinical decisions were made.Threshold is 140/90 hiyo ndio cut off.
kwahiyo Dodoma haina viwanda vinne? Na hata vile vya meat processing, wine si viwanda?