Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma ina big projects za ujenzi wa nyumba ambazo hivi tunavyoongea zimekamilika, hizi ni picha za kitambo kidogo. Onesha zako za Tatu village [emoji116][emoji116]
image_downloader_1648283550297.jpg
Screenshot_20220129-065441.jpg
Screenshot_20220129-065513.jpg
image_downloader_1648283541519.jpg
image_downloader_1648283515828.jpg
 
Nimeanza kdg tu mmekimbia mbwa nyie simameni na mm kama kweli mna pumbu mbili, mnapiga piga kelele kwasababu tunakaa kmy mnataka kutuzoea, sasa nasema hivi sahizi mm nalala ila kesho hii battle iendelee kati ya Dom City vs Tatu village mapunga nyie.
 
Gud night [emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji90][emoji117][emoji1241][emoji117][emoji91][emoji91][emoji7][emoji8]
 
yani even before nione ninini ama ni wapi, i already knew this to be kenyaland. vitu za kikenya zo uonekana na mapema maze. yani zina kaa more sophisticated, hightech and classy, other only countries u ll see this kind of sophistications in africa are SA, egypt and mauritius.

alafu waTz wanadhan watatupita ama wametupita tayari.. lakini hio itabakia kua ni ndoto ama ruwaza 2091.. na hakuna siku hivi karibuni.. huku wakizidi kutuombea mabaya, lakini ndo tunazidi kupokea wawekezaji na makampuni tajika duniani kote..

wah!🙀 hebu ona tu vitu kaa hizi hapa. yani scenes za makampuni kubwa hapo nyumae tulikua tumezoea kuviona tu south africaView attachment 2304924View attachment 2304943
Hizi ni top tier, class A, warehouse facilities, only found in Tatu city. Usitegemee kuona warehouse of this high quality huko Dodoma.
 
Hizi ni top tier, class A, warehouse facilities, only found in Tatu city. Usitegemee kuona warehouse of this high quality huko Dodoma.
😂😂😂😂😂😂apa ndo ulipofikia unatokwa povu kisa warehouse?

Et uyu nae anatumbambia kasoma ulaya
 
Dodoma bado ni changa kwa arusha ama mwanza ,huko badae inaweza sogelea kulingana na kazi zinazofanyika kwa sasa.
Thika na Dodoma zinaivana na kuna battle tayari mnaweza ipitia
Ni kweli kabisa kaka, Dodoma kwa Arusha na Mwanza bado na hata ikitokea si kitu cha hivi karibuni, Dodoma itakuwa ni mji mdogo uliopangika vizuri.
Kuna battle huwa zipo za kijinga sana mtu analinganisha stendi ya Arusha na Dodoma then anaconclude Dodoma ni zaidi ya Arusha au Mwanza kisa ina stendi nzuri,
 
Nyinyi mkapigwa sanctions hamuezi survive kama kina russia, iran na north korea, hamna hizo muscles. Bongolala kama wewe huezi elewa kile sanctions inaweza zifanyia hizi uchumi za nchi zetu za kiafrica
Hiyo sanction itoke kwa nani,kwa sababu zipi na misingi ipi?
 
Back
Top Bottom