Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Onesha lami za Tatu village nikuoneshe lami za Dom, Wakenya msitafute pa kujificha baada ya kuona tumetumia pesa nyingi kujenga jiji la kisasa East and Central Africa, huwezi kulinganisha Dom city na Tatu village kisa kuna viwanda viwili huko Tatu village na msione tumekaa kimya ni kwasababu mm binafsi siwezi engage kwenye upuuzi wa kulinganisha jiji na village, kamwe siwezi. Wekeni thamani ya investment ya Tatu village niweke thamani ya investment ya Dom City msilete upuuzi. Alafu mlivyo wajinga eti mnaungana kabisa kuweka battle ya kipumbavu kama hiyo wakati ukweli mnaujua, wacheni ujinga.
Mordena alone worth more than entire Dodoma.
 
Nmekwambia sina muda na battle za kitoto, wacheni ubabaishaji kama mnaamua kujenga kitu jengeni sio mnajenga kijiji miaka ishirini na bado hamjafikia hata 1% ya actual investment.
Kama huna muda then why are responding to our comments? I'm going to repeat it one more time. Tatu is better than Dodoma in all aspects except land size.
 
Tatu is a smart city. The day Dodoma will have it's electric and internet cables being passed underground mniambie.

TCL_2808-1500x1500.jpg
 
President Uhuru Kenyatta has officially opened the 1000-acre Naivasha Special Economic Zone (SEZ) and laid the foundation stone for the construction of the Turkish Industrial Holding Complex in the zone.

The expansive Complex, to be called Turkish Industry Zone (TIZ), will cover a 400-acre area and consist of 6 factories involved in production of construction, forestry, furniture and cleaning products.

The USD 760 million investment will start production in 2024 and is estimated to inject 530 million US dollars into the Kenyan economy and create 2,860 direct jobs.
View attachment 2304748
View attachment 2304749
View attachment 2304750
Uhuru amefanya kazi. Amezindua Naivasha SEZ. Soon Mombasa SEZ pia itazinduliwa. Not to mention Tatu city na Konza city ambazo pia zimepewa SEZ status.

Cc Geza Ulole
joto la jiwe
 
Ona 👆 👆 unavyo teseka, leo nimekunyonga na sitachoka utalia hadi machozi ya vumbi😂😂😂😂😂😂😂😂
Leave that guy alone. Ukiona mtu ameanza matusi just leave him alone. It is impossible to debate with such a person.
 
Nataka battle ya Dom City vs Tatu village nmeanza na roads, onesheni roads za Tatu village.
Hii battle itaendelea hata kesho na kesho kutwa. Wewe post picha tu. Mimi nataka kulala. Teargas amepost picha za Tatu city sasa hivi. Tutaendelea kesho.
 
Back
Top Bottom