Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Ina maana SGR yenu ya cargo itakua ni white elephant kabla haijaanza kazi, eti 6.3 million tonnes kwa mwaka! alafu The best 007 aseme mko na GDP ya $150B, 😂 😂 😂 😂Transit Goods last year from Dar Port
6.3million tonnes
Hapo TICTS wanatuzingua sana inabid wawe kwenye 1 million TEUs
Naskia wako very inefficient
Na serikali bora isirenew mkataba wao..TPA wa operate container terminal
View attachment 2300240
Kenya ilipitisha mizigo 34.13 million tonnes na hiyo ni below the target of 35.90 million tonnes, yaani biashara ilikua chini., nchi ya GDP🔥🔥🔥