Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Total MW produced last year 1733 MW
Screenshot_20220721-155038_Twitter.jpg
 
Wakat nyie ndo mnaongoza kwa wivu na mnategemea sana western kweny kuimport kuliko kutoka kwa fellow africans

infact ni sisi tu! in sub saharan africa ndo tuli trade na the apartheid south africa during the notorious botha regime. hio ilitendekeza ata mandela na mbeki kususia sana kenya.
kwa wakati moja, mandela alikataa kushuka kwa ndege ili kusalimia kenyan officials walio wasili kumjulia hali. alikua enroute to another country via JKIA, pia mbeki hakuwai zuru kenya kwa wakati huo wote alikua rais, hadi pale alipo staafu, akija kutafuta kitabu flani UoN. kisa ya haya yote... eti tulishiriki na wabaguzi wa rangi. nakumbuka kwa huo wakati, wakenya wengi sana ikiwemo msomi mashuhuri the late taita towett, walifuzu shahada zao zote hadi phd level kule afrika kusini.. 🤔

ntasema pia huo ujeuri wa moi na jomokenyatta ilisaidia sana pakubwa, ilitusaidia kuunda msingi wa uchumi wetu hadi sasa tumepiga range nchi mingi za sub saharan, hadi kua namba tatu kwa uwezo wa uchumi, kwa nchi 75% jangwa, na pia bila kua na madini yoyote, hio effort sio mchezo babake...! hivi kenya is the largest non-resource economy country in africa

yatafakari hayo 🤔🤔. we are a sovereign state afteral... kwani!. hatupangwingwi
 
Kazi nzuri sana hongereni wote mliobuni huu mradi.

Walichonifurahisha zaidi ni kwamba watapanda miti na maeneo yote yanayozunguka Recreational park.

Kwamba yapo maeneo mengine yataboroshwa. Nawapongeza tena.

Kunyweni soda nyote nakuja kulipa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji122][emoji122][emoji122]
Tatizo unaweza kushangaa yanaishia kwenye papers
 
Kenya is the largest non resource based economy in Africa. Hehe sisemi kitu
infact ni sisi tu! in sub saharan africa ndo tuli trade na the apartheid south africa during the notorious botha regime. hio ilitendekeza ata mandela na mbeki kususia sana kenya.
kwa wakati moja, mandela alikataa kushuka kwa ndege ili kusalimia kenyan officials walio wasili kumjulia hali. alikua enroute to another country via JKIA, pia mbeki hakuwai zuru kenya kwa wakati huo wote alikua rais, hadi pale alipo staafu, akija kutafuta kitabu flani UoN. kisa ya haya yote... eti tulishiriki na wabaguzi wa rangi. nakumbuka kwa huo wakati, wakenya wengi sana ikiwemo msomi mashuhuri the late taita towett, walifusu masomo yao yote hadi phd kule afrika kusini.. 🤔

ntasema pia huo ujeuri wa moi na jomokenyatta ilisaidia sana pakubwa, ilitusaidia kuunda msingi wa uchumi wetu hadi sasa tumepiga range nchi mingi za sub saharan, hadi kua namba tatu kwa uwezo wa uchumi, kwa nchi 75% jangwa, na pia bila kua na madini yoyote, hio effort sio mchezo babake...! hivi kenya is the largest non-resource economy country in africa

yatafakari hayo 🤔🤔. we are a sovereign state afteral... kwani!. hatupangwingwi
 
Kunyan wanapiga kazi TZ hadi za home maid na gardener kama wanavyofanya uarabuni
Kwahiyo hizo nchi zote hapo ni shamba la bibi?, Jaribu kufikiria uzito wa hizo nchi mnazokimbilia kwenda kufanya kazi, linganisha na hizi hapa
1)South Sudan
2) Ethiopia
3)Somalia
4)Rwanda
5)Uganda
6) DRC
Kwanini msiende huko badala yake mnakimbulia USA, UK, Tanzania, South Africa na Canada?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo unaweza kushangaa yanaishia kwenye papers
Ila kwa hili wameanza hapo Mwembeyanga nimeona greda linasawazisha. Wakiishia hapo hapo na yakabaki kwenye papers naenda kuwadai pongezi zangu...sipangiwi nitawapa wengine [emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Shamba la bibi lazima tulikamue. Tanzania wakijua wewe ni mkenya huwezi kosa kazi, hata kama hakuna nafasi wataitafuta mpaka itokee. Alafu mkenya halipwi sawa na mtanzania hata wafanane kimasomo. Endeleeni kutu tajirisha wakati kenya ndugu zenu wanasugua masufuria ya vyombo😂😂😂🙏
Wewe hujui chochote,wakenya wengi waalipata kazi kwenye Sekta ya Elimu tena hiyo ilikuwa ni enzi za jakaya na walikuwa ovyo sana labda kuongea tu english,baadae serkali ikaendesha operation ya kuwaondoa wahamiaji haramu....aiseeh!! Nilishuhudia kundi kubwa la Wanyarwanda na wakenya wakirudi kwao...toka siku hiyo niliamini kuwa wakenya ni maskini.sana
 
Wapande miti sana
Kweli mkuu hali si nzuri.

Watengeneze task force inayoundwa na watu kutoka Wizara ya Ardhi, Maliasili na Ofisi ya Makamu wa Rais na Muungano hasa NEMC.

Hii iwe na jukumu la kuhakikisha DODOMA yote inakuwa ya kijani, lakini kutegemea watu wa Wizara moja au kitengo kimoja haitaleta matokeo ya haraka.

DODOMA ni makao makuu ya nchi lazima iwe na taswira nzuri ya kuvutia na Kuwa mfano kwa miji mingine. Miti inapendezesha mazingira yoyote,iwe kijijini au mjini.
 
Back
Top Bottom