Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo hapa Tony tumsubirie Putin kuwafurumushia mabomu maana alisema wakijoin NATO watajuta [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama anataka kuwapiga angewapiga saa hii kabla hawajajoin NATO. Wakishajoin NATO hawezi kuwagusa kwa sababu ya article 5 ya NATO. Natumai unafahamu article 5 ya NATO inasemaje?

Cc ichoboy01
 
Battle ifungwe., lazybones wamebaki tu na BRT.., Dar can't level with Nairobi.,
Nje ya CBD yao moja haupati such [emoji116] [emoji116] development and Skyline, hakuna!...,

Upper Hill Business District.,
View attachment 2296181

Westlands Business District..,
View attachment 2296185
View attachment 2296190
Hivi vipicha vyote umeweka ndio vipicha hivi hivi mnavizungusha zungusha but kinachowaumbua ni hivyo vijengo lazima vionekane. Alafu hivyo vipicha vyote vinatokea hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
tapatalk_-1667325982_600x270.jpg
 
Msosi umekamilika kasoro mboga moja tu hapo hiyo ya katikati ndio huwa sigusi. Ila ni kitu konki sana, nchi ya neema hii [emoji39][emoji39][emoji2956][emoji2956]

Upo kama mimi, na hata nikigundua vyombo vimetumika kupikia hiyo mboga bado nitaona kinyaa.
 
Wakenya wengi ni akina nani? nani aliwaaminisha? 😂 😂 😂 😂 kwa vile nimeijua Tanzania sana kupitia jamii forums.., porojo wacheni, facts ziko wazi sana, hamudanganyi watu dunia ya leo, eti waliaminishwa.., weka proof hapa.., yaani mwalimu aonge kuhusu Tanzania shuleni? wapi? lini? Kenya ipi hiyo? apart from historia ya Kinjekitile na Nyerere etc nothing about Tanzania whether ni nchi tajiri ama masikini, so wacheni uongo, hii ni wivu na wishful thinking, blind patriotism tu😂😂😂😂😂😂😂., kwanza kuhusu Nyerere I knew him on a positive light, so hizi porojo zenu mnaziokota wapi na nyie ni fukara, nchi ya watu wengi pato kidogo, mko na city moja yenye CBD moja, less tarmacked roads than Kenya, Uchumi hafifu ama na hizi tumeaminishwa?.., Kinjekitile Jr porojo rudisha vijiweni.., 😂😂😂😂
Wewe shida yako haupo open minded kama hawa wenzako,wanazungumza wazi kuwa tumewazidi sasa wewe endelea kukaza fuvu 👇👇
 

Attachments

  • S20709-100637.jpg
    S20709-100637.jpg
    66.7 KB · Views: 18
  • S20709-101150.jpg
    S20709-101150.jpg
    70.1 KB · Views: 18
Hivi vipicha vyote umeweka ndio vipicha hivi hivi mnavizungusha zungusha but kinachowaumbua ni hivyo vijengo lazima vionekane. Alafu hivyo vipicha vyote vinatokea hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2296622
Tofautisha sasa na hii👇👇 na iko kwa karibu ukilinganisha na hiyo ya Kenya.., tulieni na Mombasa, tusisumbuane😂😂😂😂
1658238233332.png

Heshimu Mombasa The best 007 😜😂😂😂😂👇👇
1658238584231.png

1658238482459.png


1658238514722.png
 
DON wewe huwezi kujua kwasbabu shule ulisomea Tanzania, wenzio waliosomea Keny ndio walikuwa wakiambiwa hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuu, mimi ni wa St. Kayumba 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Aiseee, Kwanini waliamua kufanya hivyo?

Mikataba inabidi iwe vizuri.

Kule KIKAGATI kulikuwa na kitu kama hiki Idd Amin akakilipua, sijui kama kilikuwa kinamilikiwa na nchi zote maana umeme ulikuwa unapatikana pia Tanzania.

Sasa hivi wameamua kurejesha uzalishaji wa umeme, bado sijajua kama kuna mashirikiano na Tanzania.
We unamsikiliza huyo kubwa jinga?
Mradi ni ushirikiano wa nchi kadhaa pesa imetoka afdb kila nchi ikisimamia mkopo kivyake!!
Haijalishi umetokea wapi lini...tunachojua ni jpm alisimamia pesa ikapatkana na kusimamia ujenzi hadi kufa kwake.
Kama ni kuchelewa tuulize hii serkali ilifanya nini kipindi cha mwaka 1 toka jpm afariki!!
Ni ujinga kuuliza kuhusu switch yard kua upande wa rwanda wkt hujui jeigrafia ya mradi....
 
Ungejua st kayumba ni zaidi ya hizo shule zenu za hapo machakos usingekuwa unaropoka
Tanzania tunaijua, nenda ukadanganye wenzako wa vijiweni na vihadithi uchwara ujifurahishe kilaza, uko uchi sana, nakuona kwa umbali 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom