Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tafadhali onesha mahali slum city inakaribia hapa interms of skyline View attachment 2291488
Nadhani umejibiwa mjukuu.,., na hilo ndilo swali uwe unatumia ukilinganisha visehemu vya Dar is Slum na CBD tofauti za Nairobi, mjukuu jibu hautapata kutoka Tanzania yote😂 😂 😂 😂 😂 😂
1657889758184.png
 
Aisee unaangalia izo fancy grading ama size za mall?mana iyo two river kwa zile mall za sa ni ndogo sana
wacha wewe, in SA two rivers in size itakua bado top 10.., wacha wewe.., data iko, google kisha uje.,
 
wacha wewe, in SA two rivers in size itakua bado top 10.., wacha wewe.., data iko, google kisha uje.,
Nmewahi kuwekz hapa mall 50 ziko juu ya 50k sqm yenu labda ingeshika namba 51
 
Haya mambo ya kukurupuka haya

Hii ndio Lapsset wanaosemaga 😅😅😅

Kila kitu kwenye hiyo Lapsset ni white elephant, lamu port ni white elephant hata Barabara ya Isiolo ni white elephant sababu hakuna gari lolote linalopeleka mzigo Ethiopia kutokea bandari yoyote kunyaland 😅😅😅
 
Matatizo ya kukurupuka bila mipango haya
Hii ndio Lapsset wanaosemaga 😅😅😅

Kila kitu kwenye hiyo Lapsset ni white elephant, lamu port ni white elephant hata Barabara ya Isiolo ni white elephant sababu hakuna gari lolote linalopeleka mzigo Ethiopia kutokea bandari yoyote kunyaland 😅😅😅
 
Dirty kunyaland
Dirty naipori
Dirty Eastleigh
On spotlight



Yaani Eastleigh kwa Dar ni city centre, na nje ya Dar imeishinda second city Mwanza jiji lililo choka, ata mzunguko wa pesa iko juu!., umefanya vizuri kupost hiyo clip..,
A serious Market place in EAC., ukipata any equivalent to this in Dar nitag.., and we compare kila kitu hadi mzunguko wa pesa..,



 
He is no pathetic for telling what you really are.

Why do you guys hate yourselves and your national identity? What is wrong with being Kenyan? Can you be kind enough and brief us what is not known to us?
Yani huyo ndugu yenu mshamnyang'anya uraia wake? 😂😂😂
Pathetic!
 
Back
Top Bottom