The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Hebu ngoja tulinganishe
Hata ya moja moja ntaleta mkeka kwanza uone,najua two river ni 65k sqmMimi nilidhani tunazungumza ukubwa wa mall moja moja ndio maana nikasema two rivers ni bab kubwa? Sasa mbona unakwenda kwenye total mall space? Hata hapo kwa total mall space Kenya ni ya tatu.
You jealousy is making you to see expressway lakini watu wengine wanaona both Nairobi skyline and the Expressway. MoreSasa umeonesha nn zaidi ya xpress way ya mchina![]()
Haya tulinganishe. I want you to rank them from first to last.Hebu ngoja tulinganishe View attachment 2291566View attachment 2291567
This is part of Kangemi which is considered a slumWamekua wakijidanganya tu hapa JF ila ukweli wanajua Nairobi ni slums kushoto kulia
Kangemi ni kubwa kuliko Kibera by far
Angalia horizons za slums everywhere
View attachment 2291029View attachment 2291030View attachment 2291031View attachment 2291032View attachment 2291033View attachment 2291035
Skyline ni skyscrapers mjukuu, na hapa yanahesabika, very few, zimeshinda za Dar kidogo tu., lakini hazifikii Nairobi.., City ya CBD moja tu kama Dar, alafu uitaje sentensi moja na Nairobi, mjukuu hiyo si ni kichaa!!, 😂 😂 😂 😂
Tuusan how many times do we have to tell you that units in real estate are sold/morgaged not rented. Hapo utapata 3 bedroom unit inauzwa 8million.Apo most of em are tenants ,Mimi naishi in my house a 4bedrooms, five washrooms in a half an acre plot .Nna bustani za mbogamboga,nna mbuzi kadhaa na kuku ,mi bonge la boss apo,hao wapuzi wengi wanastruggle hata kulipa kodi
So the joining of DRC to east Africa is what has made the bechtel company so eager to sign the construction of the Mombasa Nairobi expressway after walikua wameringa nkt! But I know it will he a game changer... The longest expressway In Africa I believe the truck drivers headed to congo and Uganda will enjoy....
Mipini ya maana ya ADDIS , proper public transport infrastructure vs Majengo ya miaka ya sabini na moja la mwaka jana pamoja na barabara moja ya watu 🤣Hebu ngoja tulinganishe View attachment 2291566View attachment 2291567
Leta mkeka. Two rivers ipo top ten. Kama una evidence nyingine yaHata ya moja moja ntaleta mkeka kwanza uone,najua two river ni 65k sqm
Alafu mjukuu wangu The best 007 anaitaja Addis Ababa same sentence na Nairobi., hiyo ni dhambi, na mwingine anasifia Luanda Angola due to aesthetics 😂 😂 😂 😂 .,Mkenya akiulizwa ati nje ya CBD kuna Nini utaona wakitaja.
Upperhill
Westlands
Kilimani
Parklands
South C
And they attach the pictures of the named places.
Upperhill
View attachment 2291521
View attachment 2291551
Westlands
View attachment 2291522
View attachment 2291541
View attachment 2291542
Kilimani
View attachment 2291533
View attachment 2291545View attachment 2291546
South C
View attachment 2291552View attachment 2291554View attachment 2291556View attachment 2291558
Alafu utapata zile vitu zote ametaja inafika Ksh4m max wakati unit moja ya nyumba Nairobi ni Ksh8m!Tuusan how many times do we have to tell you that units in real estate are sold/morgaged not rented. Hapo utapata 3 bedroom unit inauzwa 8million.