Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali irresponsible iweke takwimu za vifo vinavyosababishwa na kitu ambacho hawajawahi kutafuta Suluhu?


Na hata kama hakuna vifo vingi vinavyosababishwa na baridi, tunaishi karne ya 21. Tuna uwezo wa kujikinga wakati wa hali ya hewa mbaya. Kwanini nyumba zisiwe na fire place Au heating system? Unakuta watu wanalalamika baridi wakiwa ndani wakati zipo njia nyingi tu za kupunguza baridi kali.
 
Thanks to quick intervention by nairobi fire service we averted what happened in tanzania.
IMG_20220714_211934_279.jpg
IMG_20220714_211903_654.jpg
images.jpeg
 
Yaani Africa's fastest man bado hajapata Visa ya kuenda USA na anastahili kukimbia this Friday? Hawa wazungu wana madharau sana. Wanaogopa huyu Mkenya atawashinda. Kuna Wanariadha kadhaa wa Kenya hawajapata visa bado yet mashindano ya dunia yanayoanza Friday. Upuuzi mtupu.




Sasa si watamstress hata akipata sasa hivi ataweza kufanya vizuri kweli?

Ila Afrika bado tuko strong anaweza kufanya wonders tumuombee apate visa, better late than never!
 
Back
Top Bottom