Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Itakuwa ni nice New looking kwa city mkuuYani sipati picha brt na platform ya mgr zikikamilika sijui itakuaje
Itakuwa ni nice New looking kwa city mkuuYani sipati picha brt na platform ya mgr zikikamilika sijui itakuaje
Noma sana, umeona hiyo accessibility kwa kila mtu, huo mstari wa njano kipofu anapita bila shida.
Wew jamaa unautanii sana 😂😂😂 ila umetisha mzeeHahaha labda kajengewa kipofu wa Kizungu, kipofu wa Bongo fimbo ataipatia wapi? Wote wanatumia mtoto kutembea kuwaongoza, inavutia hata hivyo kwa macho, RIP Magu!
wanatakiwa waende kuchota wese la bure na ndoo, mbona mnakaa mbali? Mwanaume haogopi kuchomeka...!Hii ndo ile platform/daraja ya kutoka na kuingilia brt yao?😄View attachment 2290597View attachment 2290598
Ndo yenyewe ase🤣Hii ndo ile platform/daraja ya kutoka na kuingilia brt yao?😄View attachment 2290597View attachment 2290598
Tutabaki peke yetu kwenye huu uziYani sipati picha brt na platform ya mgr zikikamilika sijui itakuaje
maudhui tofauti na kichwa cha habari!
Hahaha mumekuwa mkipinga gdp. Sasa pia mumeanza kupinga HDI? Aisee mnashangaza.Yani mnachekesha sana na hivyo vidata uchwara mtu anayekula kuku wengi kwa mwezi na anayekula kuku 3 kwa mwezi na kula mlo mmoja au kulala njaa kabisa unahaja kweli ya kuangalia HDI?
naona mwananchi wamechanganya clip!ok nimekuelewa mkuu
Hahaha mumekuwa mkipinga gdp. Sasa pia mumeanza kupinga HDI? Aisee mnashangaza.
The best 007 wewe pia huamini hii data ya HDI?