chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,675
- 45,904
Huu uswazi wa Runda tunaanza kuujadili lini? 😂😂😂
Huu uswazi wa Runda tunaanza kuujadili lini? 😂😂😂
Kumbe Serengeti inakuwasha[emoji23]Tests zinaonesha si ebola kwahio ni virus mpya ambayo haijulikani. Ningependekeza waiite the 'tanzania virus' ama ' SerengetiVirus'
Yani mnachekesha sana na hivyo vidata uchwara mtu anayekula kuku wengi kwa mwezi na anayekula kuku 3 kwa mwezi na kula mlo mmoja au kulala njaa kabisa unahaja kweli ya kuangalia HDI?Kumbe Lazyland Republic ina lower HDI kushinda Uganda despite Uganda having a lower gdp per capita than Tanzania. Tanzania ni middle income lakini Uganda ina higher HDI kuishinda despite Uganda still being a least developed country. Sijui nani aliwaroga. Gap kati ya Tanzania na Kenya ya HDI ni kubwa mpaka inakuwa kama jokes.
View attachment 2290341View attachment 2290344View attachment 2290349
tuusan yaani Uganda wamewashinda kwenye HDI? Nimeshangaa sana. Yaani mnapigwa mpaka na LDC kwenye HDI?
Wewe kilaza main street au high street are the same get that in your head.Wewe uliyetembea mbona bado uko na ujinga ya kuita street eti highway?
Tuko mbele sana kuliko hawa wakulungwa.VAR kutumia ligi kuu ya vijana U20..
To be controlled by Azam, sio CAF wala FIFA
Matusii haya jamanii asee waturuki wapo vizuri
Lack of vaccination in kids, LDC characteristics e.g polio za wale walemavu watanzania huletwa kuomba nairobiDid you know chikungunya virus started in tanzania. Now you know.View attachment 2290525
Wakunja haya mambo huko hakunaNoma sana, umeona hiyo accessibility kwa kila mtu, huo mstari wa njano kipofu anapita bila shida.
Yani sipati picha brt na platform ya mgr zikikamilika sijui itakuajeMkuu haya ni maumivu kwa kunyan,kama mbele vile