joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Tofauti ya South Sudan na Kenya kwenye insecurity ipo wapi?, angalia katika "tanks" duniani Kenya na South Sudan hampishani Sana! Kenya No.125 na South Sudan 131[emoji38][emoji38][emoji38]Hata before hizo nchi zijiunge na EAC bado tulikua tunafanya bishara nao chini ya bilateral agreements. EAC naweza ilinganisha na EU, one country different systems, sasa vile tuliruhusu unstable shitholes zijiunge tumeipunguza nguvu diplomatically na socially.
Ww kama mtanzania wa kawaida hauna interaction yeyote socially na S.sudan ambayo ni dead weight tunawabeba.
Resolutions zote zitapishiwa hapo Arusha zitakua useless juu S.sudan na Drc hazina serikali ya kuzi- enforce au ku- implement.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app