Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

MOMBASA..,
1657786139205.png

1657786072797.png

1657786090120.png

1657786127383.png
 
mm narudia hii ni main road na sio street na ushahidi nimekupa we huoni wenzako wwnakucheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpotezee utapoteza muda bure hapo yuko kama mbuni kafukia kichwa chini hasikii wala haoni chochote.
 
Where middle classes hiding in naipori 🤮🤮🤮🤮🤮

20220630_095753.jpg
Screenshot_20220714-111935.png
Screenshot_20220714-111918.png
Screenshot_20220714-111904.png
 

Attachments

  • Screenshot_20220714-111846.png
    Screenshot_20220714-111846.png
    218.7 KB · Views: 18
Hii EAC tumeiharibu kwa kuingiza S.sudan na Drc... Don YF
Sasa ndio watanyooka, ujinga wata acha.., especially South Sudan., wako na ka ufala flani., DRC kuna many external factors affecting their stability, may be ni EAC itawakomboa.,
 
Sasa ndio watanyooka, ujinga wata acha.., especially South Sudan., wako na ka ufala flani., DRC kuna many external factors affecting their stability, may be ni EAC itawakomboa.,
DRC itakombolewa na tanzania sio nyinyi tumewaachia south sudan ikiwa somalia imewatoa uharo 😂😂😂😂
 
Ukifuatilia campaigns za kunyaland wana wheelbarrow agenda, sio rahisi ujue maana yake until ukutane na normal life ya kunyaland 😂😂😂

Wheelbarrow na takataka haziachani kabisa, hata wale homeless wa marekani huwezi kuwatenga na carts, it's whole garbage ideology 😂😂😂😂

image_downloader_1657720847998.jpg
images - 2022-07-14T113220.962.jpeg
 
DRC itakombolewa na tanzania sio nyinyi tumewaachia south sudan ikiwa somalia imewatoa uharo 😂😂😂😂
Nyie mlipigwa mapanga kule, hamuna lenyu., wacha uone vile tunachangamkia fursa nyie mkikenua meno na kuzubaa kwa beach kule pwani zenu., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Nyie mlipigwa mapanga kule, hamuna lenyu., wacha uone vile tunachangamkia fursa nyie mkikenua meno na kuzubaa kwa beach kule pwani zenu., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
nenda kawaulize congo kwann wanaigopa sana tanzania na siku zote wanamsemo wao wanakwambia “tanzania bandugu yetu”😂😂
 
Ukifuatilia campaigns za kunyaland wana wheelbarrow agenda, sio rahisi ujue maana yake until ukutane na normal life ya kunyaland 😂😂😂

Wheelbarrow na takataka haziachani kabisa, hata wale homeless wa marekani huwezi kuwatenga na carts, it's whole garbage ideology 😂😂😂😂

View attachment 2289984View attachment 2289990
Umelemewa na wivu, haujui una post nini, wapi na ni lini?😂😂😂😂😂😂 pole, wivu ni mbaya ba mzee ona sasa, kuokota vitu google tu kimandazi😂😂😂😂😂
1657787897940.png
 
Back
Top Bottom