Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

bongo
60cbc0d34b1e6da2245410deed33d123.jpg
 
I am sure Nairobi can and will never miss in the top 5 most developed African cities but as usual the jealous ldc dwellers south will have issues. but we don't give a ****. ...we need haters too....
Tatizo mnawapiga sana kamba wanaija, na wasauzi na wengine wasiowajua, na mkipata nafasi kufanya presentation kwa wazungu ndio kabisa mnawaaminisha kuwa mko na maendeleo kama ya Morocco.
Imefikia hatua hadi mnapika data zenu za uchumi mradi tu muonekane mmeendelea,
Maisha yenu ya maigizo sana, mko na utumwa vichwani mwenu. Wengi wenu mnaishi maisha Duni lakini you try to fake life through your outlooks, mnavaa masuti oversize ya mitumba na kukaa pale Uhuru park huku mkizungumza kingereza asubuhi hadi jioni na kurudi makwenu pasi hata ya mlo mmoja..
Ila sisi Jirani zenu tunawajua hadi vyumbani kwenu, wengi wenu mnaishi kwenye maisha Duni sana ya kwenye slums,
Mkijikwamua kidogo basi mnapanga two rooms kwenye mabweni ya mabepari wa kizungu na wakikuyu walioiibia serikali yenu..
Ni rahisi kwa Mnaijeria kusema Nairobi is the most developed City in Africa, sababu haijui vyema nairobi , lakini tunaojua Nairobi nje ndani tunabaki kuwaangalia tu.
 
Tatizo mnawapiga sana kamba wanaija, na wasauzi na wengine wasiowajua, na mkipata nafasi kufanya presentation kwa wazungu ndio kabisa mnawaaminisha kuwa mko na maendeleo kama ya Morocco.
Imefikia hatua hadi mnapika data zenu za uchumi mradi tu muonekane mmeendelea,
Maisha yenu ya maigizo sana, mko na utumwa vichwani mwenu. Wengi wenu mnaishi maisha Duni lakini you try to fake life through your outlooks, mnavaa masuti oversize ya mitumba na kukaa pale Uhuru park huku mkizungumza kingereza asubuhi hadi jioni na kurudi makwenu pasi hata ya mlo mmoja..
Ila sisi Jirani zenu tunawajua hadi vyumbani kwenu, wengi wenu mnaishi kwenye maisha Duni sana ya kwenye slums,
Mkijikwamua kidogo basi mnapanga two rooms kwenye mabweni ya mabepari wa kizungu na wakikuyu walioiibia serikali yenu..
Ni rahisi kwa Mnaijeria kusema Nairobi is the most developed City in Africa, sababu haijui vyema nairobi , lakini tunaojua Nairobi nje ndani tunabaki kuwaangalia tu.
kuna wakati gas ilipogundulika tanzania wakenya walikimbia europe na kusema gas iko kenya, sasa wazungu wakaja kenya kuangalia vitalu vya gas wakakuta hakuna kitu kumbe walikua wanatafuta uwakala kupitia kwa wazungu na kwa tanzania, wakatoka mswaki😀😀😀😀😀😀, yani katika maisha yangu mm sijawah kuona watu wanaishi maisha duni kama wakenya yani sumu ya maisha ni kali sana kenya lakin kwa kupenda sifa hawajambo😛😛😛😛😛
 
kuna wakati gas ilipogundulika tanzania wakenya walikimbia europe na kusema gas iko kenya, sasa wazungu wakaja kenya kuangalia vitalu vya gas wakakuta hakuna kitu kumbe walikua wanatafuta uwakala kupitia kwa wazungu na kwa tanzania, wakatoka mswaki😀😀😀😀😀😀, yani katika maisha yangu mm sijawah kuona watu wanaishi maisha duni kama wakenya yani sumu ya maisha ni kali sana kenya lakin kwa kupenda sifa hawajambo😛😛😛😛😛
Enda rural areas Tanzania utawaona. Najua hujawai toka Dar
 
Yep, Nyayo stadium ya 1983 na kasarani ya 1987.
yap maana yake hakuna modern stadium kama ya dar 😀😀😀😀
na ukumbuke stadium ya dar is one the top ten expensive stadium in africa wachilia mbali ile modern stadium inayojengwa dodoma ambayo cost yake ni 100m usd na kazi imeshaanza
 
yap maana yake hakuna modern stadium kama ya dar 😀😀😀😀
na ukumbuke stadium ya dar is one the top ten expensive stadium in africa wachilia mbali ile modern stadium inayojengwa dodoma ambayo cost yake ni 100m usd na kazi imeshaanza
Congrats mmejenga. Inaonekana in the 90s na 00s mlikuwa mnachezea michezo yenu kwenye open fields. For now our stadia serve the purpose
 
Back
Top Bottom