Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeangalia report DW walikuwa wanaonesha maisha ya wakazi wa Nairobi jinsi yalivyo,kiukweli kidogo nilie😭😭 nimeona bado Waafrika tuna kazi kubwa sana ya kufanya hasa kenya🇰🇪 Yani unakuta mwafrika anaishi kama mbwa...Kibaya zaid kilicho niumiza wakazi wengi wa hapo ni WAJALUO(kabila langu) ndiyo maana wakikuyu wanatuzidi akili sana,tunapaswa kuamka tuache sifa za kipuuzi na wakati hali zetu mbaya sana
Wajaluo ndio slum masters, Kibera yote ni yao, yaani slum dwellers wamemfanya odinga akawa maarufu how many are they!
 
Omera polee...!!
Daah uwa inaniuma sana kila nikitembelea kenya,uganda au south Sudan....utakuta wakikuyu,wanyankole au waganda wapo vizuri kweli kiuchumi lakini luo KE,walango,waacholi,jopadhola,jonam,hao wale wa jaluo kutoka gambella Ethiopia hali zao taabani kabisa
 
Jambo moja ambalo unapaswa kufahamu ni kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi hapo kenya,kwahyo lazima serikali ijioshee kwa wapiga kura kuwa imekusanya pesa nyingi sana na wakati ni utumbo mtupu😂😂....Namuona RAO akiapishwa soon,Politic is science
Kenya sio nchi ya CCM (Chama Cha Mafala) inayotegemea propaganda ili iendelee kukaa madarakani, na pia KRA ni taasisi huru, peleka ujinga na hasira mbali😂😂😂, Jubilee ambayo ndiyo iko mamlakani haina mgombea urais., siasa ni Raila wa muungano wa Azimio na Ruto aliekosana na Uhuru., wacha porojo, mko na uchumi hafifu, wewe jiliwaze na Kibera na propaganda za mitandao na media uwache uongo, jipende mlivyo, haubadilishi ukweli😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Wajaluo ndio slum masters, Kibera yote ni yao, yaani slum dwellers wamemfanya odinga akawa maarufu how many are they!
Kweli kabsa yule jamaa kajinufaisha sana kutoka kwa wajaluo toka akiwa mbunge pale kibera na watoto wake wana pesa chafu lakini ukitembelea kule kwao Ramogi hali ni mbaya sana,wapo karibu na ziwa Victoria lakini maji au chakula ni shida wanasubiria waaagize tanzania wapate kula
 
Ushuru watoe wapi kama hizi ndio butchery zao. 🤣 🤣 🤣 Hadi machinga wanauza nyama.



Image



Image
Kama Uganda kabisaa, nyama inauzwa wazi wazi kwa streets, wametandanza kwa meza 😂 😂 😂 😂 , Kenya ministry of health officers wanaku arrest., kwanza nyama!!
 
Kweli kabsa yule jamaa kajinufaisha sana kutoka kwa wajaluo toka akiwa mbunge pale kibera na watoto wake wana pesa chafu lakini ukitembelea kule kwao Ramogi hali ni mbaya sana,wapo karibu na ziwa Victoria lakini maji au chakula ni shida wanasubiria waaagize tanzania wapate kula
bana uongo haitakuponya kilaza😂😂😂😂😂😂😂
 
Kenya sio nchi ya CCM (Chama Cha Mafala) inayotegemea propaganda ili iendelee kukaa madarakani, na pia KRA ni taasisi huru, peleka ujinga na hasira mbali😂😂😂, Jubilee ambayo ndiyo iko mamlakani haina mgombea urais., siasa ni Raila wa muungano wa Azimio na Ruto aliekosana na Uhuru., wacha porojo, mko na uchumi hafifu, wewe jiliwaze na Kibera na propaganda za mitandao na media uwache uongo, jipende mlivyo, haubadilishi ukweli😂 😂 😂 😂 😂 😂
Be open minded....Hiyo jubilee ambayo unaizungumzia ndiyo inayo muunga mkono yule kiongozi wa wajaluo ili kuondoa kitu kinaitwa historical injustice ambayo wakikuyu wakiongozwa na baba ake Uhuru kenyatta aliwafanyia wajaluo miaka zaidi ya 50 sasa,inshort ni kwamba Odinga ni shati tu pale AZIMIO ila mgombea ni Uhuru pamoja na Martha karua(Wakikuyu)
 
Be open minded....Hiyo jubilee ambayo unaizungumzia ndiyo inayo muunga mkono yule kiongozi wa wajaluo ili kuondoa kitu kinaitwa historical injustice ambayo wakikuyu wakiongozwa na baba ake Uhuru kenyatta aliwafanyia wajaluo miaka zaidi ya 50 sasa,inshort ni kwamba Odinga ni shati tu pale AZIMIO ila mgombea ni Uhuru pamoja na Martha karua(Wakikuyu)
Ona ulivyo kilaza, I am very objective and open minded, I believe in truth, sio porojo za kujiliwaza ili nijiskie vizuri, la, fact is anaye tumia track record ya serikali ku campaign ni Ruto., Raila hatumii jubilee gov't achievements ku campaign ata kidogo., wacha kuanika kutokuelewa kwako wazi wazi.,

Ukweli unabaki pale pale, taifa lenu ni fukara zaidi, linadhihirika kila uchao
 
Ebu kwanza tuambie ni nani wanakaa tandale, vingunguti , manzese, mbagala, kipawa etc
Ebu kwanza tuambie ni nani wanakaa tandale, vingunguti , manzese, mbagala, kipawa etc
Wanakaa watz wenye nyumba za matofali ndani kuna tiles na kiyoyozi kwa mbaaali ila pale mathare na kibera wanaishi wakenya kwenye nyumba za mbwa,vyoo au store kwa huku tanzania
 
Nyinyi mnaabufu kiingereza,nyoko!
Screenshot_20220707-180419_Gallery.jpg
na kama haingekua tumebobea sana katika huu ulingo wa kingereza, haya makampuni zote tajika, ikiwemo Google Inc, Microsoft, Meta(Facebook), Amazon haingepata kuwekeza humu nchini hivi majuzi. yani uwezo wetu wa kingereza is a Resource by itself, human resource to be precise.. 🤔

tu, naweza imagin haya makampuni zote ikiwekeza tz, yote kwa wakati moja, yani within one month!.... hiyo, unless a miracle happen

huaga wanasemanga..
"Kill what you can eat"
 
Ona ulivyo kilaza, I am very objective and open minded, I believe in truth, sio porojo za kujiliwaza ili nijiskie vizuri, la, fact is anaye tumia track record ya serikali ku campaign ni Ruto., Raila hatumii jubilee gov't achievements ku campaign ata kidogo., wacha kuanika kutokuelewa kwako wazi wazi.,

Ukweli unabaki pale pale, taifa lenu ni fukara zaidi, linadhihirika kila uchao
Naona unabishana na ukweli ila ipo hivi almost 80% ya wana jubilee wanamuunga mkono RAILA sasa wewe endelea kukaza fuvu
 
Huyu mal*ya wa Fox News kule USA amepigwa vita na KOT. Hatawahi kutaja Kenya tena maishani mwake. Eti anadanganya kwamba pregnant women in Kenya cannot vote. Ilhali hapa Kenya wakati wa kupiga kura wanawake wenye mimba huwa wanawachiwa wavuke line.
Hizi taarifa huwa wanapewa na nani? Angalia sasa aibu anayoipata, ila kwa kuwa ni Afrika atajiona hajafanya makosa.
 
Wanakaa watz wenye nyumba za matofali ndani kuna tiles na kiyoyozi kwa mbaaali ila pale mathare na kibera wanaishi wakenya kwenye nyumba za mbwa,vyoo au store kwa huku tanzania
Huyu kumbe ni mwendawazimu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , jipe shughli kilaza, ukadanganye wenzako pale vijiweni😂😂😂😂.,
Njoga boy 👇👇😂😂😂😂😂😂😂😂, bangi ni mbaya mjukuu😂😂😂😂😂😂
1657204661308.png

1657204540076.png

1657204551730.png

1657204562927.png

1657204579190.png

1657204620958.png
 
Naona unabishana na ukweli ila ipo hivi almost 80% ya wana jubilee wanamuunga mkono RAILA sasa wewe endelea kukaza fuvu
Karibia 80% ya jubilee wako na Dr. William Ruto, yaani central na Rift valley.., kilaza wachana na bangi haikupeleki vizuri, ona sasa unajipiga risasi kwa mguu😂😂😂, afadhali unge google tu kisha utudanganye eti unajua 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1657204861158.png
 
Back
Top Bottom