The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hata TC pia tickets zinapatikana online na hata boarding pass pia zinapatikana online, hii ya Guanzhou huenda ni mpango mkakati huwezi juwa mana Tanzanians are very smarter nadhani unajua hilo.Halafu upuuzi wa kusema tickets are available at ATCL Head Office only imenishangaza sana wakati Emirates na airlines nyingi unabook online na kulipa online na kupata ticket online. Kwanza emirates inakutumia hio boarding pass kwa email. Yaani bado mnafanya mambo kizamani eti lazima mtu aende mwenyewe kwa ofisi yao ili apate ticket?

