Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa ni watu wanajitakia kifo wala usisumbuke nao. But the long arm of the law will just catch up with such reckless drivers
waweke speed limits cameras! mtu akiingie anatoka na bill yake! Haki ya Mungu na deni la Mchina mtalipa mapemaa! Kama huyu mnamgonga $50 for first offence, then $100 for the second then $200 for the third before 6 months jail sentence!
 
Halafu unakiita hiki kihostipatali a public hospital kumbe ni private business ya Mzungu 😂😂😂
Wacha wivu bongolala. That hospital was constructed and is owned by the Nakuru County Government
 
waweke speed limits cameras! mtu akiingie anatoka na bill yake! Haki ya Mungu na deni la Mchina mtalipa mapemaa! Kama huyu mnamgonga $50 for first offence, then $100 for the second then $200 for the third before 6 months jail sentence!
Speed limit cameras is a noble idea that they should consider by now. Such people not only risk their lives but other drivers' lives as well. Time to put an end to it
 
Angalia kuna ka-boat hakazidi 3 floors tayari kamefika kwa ceiling!
FG4D0rmWYAApZ0q
[emoji16][emoji16] sehemu ya jeshi
 
Do you need to do research on such a thing?
fanya research kisha uturejeshee mrejesho hapa mtu wa kwanza kuzungumza hayo maneno ni nani,anatokea wapi,ni lini aligundua,anamiaka mingapi,udini gani,kabila gani ?
ulete full documentar hapa,bila shaka unaweza kamanda nakuaminia huwa si mtu wa mchezo mchezo
 
wish wakenya wote wangekua wazalendo sana kama hawa wabongo..... yani wabongo wanapenda nchi yao mbaya sana!. was following some documentary
 
Dar haina expressway kwasababu tunamradi wa BRT ambao utapunguza foleni indirect kwa kuwavutia wenye magari binafsi kuutumia,pia daladala zipungue kwenye main roads zinazoingia na kutoka katikati ya jiji,Pia tunajenga flyovers kwenye intersections ambazo zinachangamoto ya foleni...Tatu tunakamilisha SGR ili kupunguza ulazima kwa malori yanayotoka bandarini kupeleka mizigo mikoani kwa kutumia njia ya barabara pekee yake...
Sioni mtanzania wa kawaida akiacha ustaarabu wa kuendesha gari lake binafsi akapande BRT na huu msongamano. I personally would not. Only in communist state ambako watu unalazimishwa. Expressway ya Kenya ina ustaarabu wa kutumia gari lako personal kila wakati unataka na bado basi na matatu zikitaka kupita express kama BRT bado zinaweza lipia na kupita. Kenya killed 2 birds with one stone building the Nairobi expressway
Screenshot_20220706-190754.jpg

Screenshot_20220706-190856.jpg

Alafu SGR ya tanzania haingii port kwa hiyo hakuna kupakia mzigo direct kutoka kwa meli hadi >>> SGR train hadi >> dry port kama Kenya. Kwa hiyo hakuna foleni ya malori SGR ya Tanzania inatoa kwa barabara sababu bado malori yatabeba mzigo kutoka dar port hadi pugu dry port 100km away from dar-is-a-slum
images-15.jpg
 
Sitegemei chakula cha msaada bongolala wala hakuna generation yangu imewahitegemea hicho chakula
Sasa mbona mmekipokea mpaka Ikulu. Yaani hadi UK akubali na kupokea chakula cha msaada wewe nani usipokee na kula hicho chakula?
 
Abandoned? 😃😃😃😃
Is that how you call vichaka za Dar? Kwa hivyo hizo viwanja hazina wamiliki au argument yako ni nini haswa?

Kama huelewi ngoja nikuache. Wewe nakuambia abandoned plot, unaongelea vichaka. By the way, do you know what are abandoned plots!!?
 
Sasa mbona mmekipokea mpaka Ikulu. Yaani hadi UK akubali na kupokea chakula cha msaada wewe nani usipokee na kula hicho chakula?
Wewe unafikiri watu wa Northern Kenya wakipokea chakula basi kila mtu ni hivyo? Kwetu hakuna ukame bongolala wala hakujawahitokea balaa Ia njaa. Hilo ni neno geni kwetu
 
Sioni mtanzania wa kawaida akiacha ustaarabu wa kuendesha gari lake binafsi akapande BRT na huu msongamano. I personally would not. Only in communist state ambako watu unalazimishwa. Expressway ya Kenya ina ustaarabu wa kutumia gari lako personal kila wakati unataka na bado basi na matatu zikitaka kupita express kama BRT bado zinaweza lipia na kupita. Kenya killed 2 birds with one stone building the Nairobi expressway
View attachment 2282715
View attachment 2282720
Alafu SGR ya tanzania haingii port kwa hiyo hakuna kupakia mzigo direct kutoka kwa meli hadi >>> SGR train hadi >> dry port kama Kenya. Kwa hiyo hakuna foleni ya malori SGR ya Tanzania inatoa kwa barabara sababu bado malori yatabeba mzigo kutoka dar port hadi pugu dry port 100km away from dar-is-a-slum
View attachment 2282719
You spewed rubbish here.

Public transport such as BRT, metro trains is the way to go for big modern cities. Advantages are many such as low cost, efficient, spends less time commuting to and from work and lastly ni environmentally friendly.

Both Tanzanian SGR and MGR have port links.
 
Back
Top Bottom