Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uogopi kuwa naweza kuwa SPY wa kibongo for DRC.. nakusanya data? 🤣🤣

Kingine..

Umeielewa vizur hii video?.. imepostiwa pia na page ya Rwandan Presidency office
Aawapii usinge-post private picha za familia ya Kabila tena watoto wakati kimaadili hairuhusiwi n u can be traced!
 
Ile reli ya Tanzania haijakua fenced in most parts unlike ya kenya na intermediate stations za tz sgr ni kama choo za kanjo
endelea kujidanganya,unapotoa povu inabidi uchunguze kwanza kisha ndiyo utoe povu..

fuatilia mambo
 
Aawapii usinge-post private picha za familia ya Kabila tena watoti wakati kimaadili hairuhusiwi n u can be traced!
😂😂😂 wala usijali, hizo pics sijapost kwa kujificha, na zitabaki humuhumu, na hakuna kitu kitafanyika. Then can even track me and na tukanywa kahawa fresh tu🤣..
Nyingine hii hapa na hao watoto wawili walewale
❤ 😍😅
20220705_225731.jpg
 
Tanzania sisi tunashobokewa tu mataifa ya Mabeberu kwa ajili ya Ujamaa wetu, that's all.

Sisi ni moja ya less than 3 countries in Africa in terms of food security na export ya chakula. Yaani kipo kingi mpaka cha kuuza.

Ujamaa wetu ndio umefanya mpaka Nyerere amefichwa kwenye ranking na viongozi wengi average tu kama Mandela.

It's ridiculous kufuatisha most of these statistics and ranks.
Kipimo changu cha kiongozi mzuri ni sifa anazopata toka vyombo vya habari vya magharibi, yule anayefichwa fichwa au anayetukanwa basi huyo huyo ndiyo mzuri.
 
kobe si kobe

Screenshot_20220705-231317_Chrome.jpg



😆😆😆😆😆👇🏽👇🏽 kuchukuchukuchukuchu....
 
Planted with better knowledge? Smh..

So you hire experts for that job right? From which part of the world bradhee? Na atakaa hapo kumaintain hizo uchafu majani siku zote Sio?
Experts gain their expertise by trying things out. No one has planted flowers on highway columns in Nairobi before.
Different plant varieties behave different.
I hope that helps.
 
Back
Top Bottom