joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Huu ni wivu sio vinginevyo, Sasa mbona mnaendelea kuwekeza ktk KQ Kama mnajua ni makosa?Hamutawahi kutengeneza profit kwenye aviation. Nimeshakueleza na mapema. Ukae ukijua hivyo. Hakuna business mbaya kama ya aviation dunia hii. Kama kuna mahali Magufuli alikosea ni kupoteza pesa kununua ndege mpya. Hapo alitupa pesa kabisa. Nawapa miaka mitano mtanielewa ninachosema. Kwa major alirlines ni airline moja tu Africa ndio inatengeneza profit kwa jina Ethiopian airline na hio ilianza kufanya kazi in the 1950s. Mpo excited kama watoto wadogo kwa sababu mna airline mpya, lakini mtapata hasara sana.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app