Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi




FWfjy_AWQAE55dM



FWfj0OVXgAo0-4e



FWfjznFWYAA_Dom



FWfjyXTWIAA-Cat
Dom coming up nicely inaanza kuonekana kama Washington DC alimradi wasijenge magorofa marefu tuu kwe mji wa serikali.
 
KQ needs to be dissolved and reconstituted afresh maana hiyo loss sink waliyokuwemo ni deep sana 10yrs is too long for any business otherwise it will keep on minting losses year in year out.
wanataka kununua flying taxis kwa mkopo toka Brazil! 🤣 🤣 🤷‍♂️ 🤷‍♂️
 
Dom coming up nicely inaanza kuonekana kama Washington DC alimradi wasijenge magorofa marefu tuu kwe mji wa serikali.
uwezi ku-limit maghorofa marefu utakuwa una-limit multinational companies kuja what if wanahitaji ofisi nyingi kwenye jengo moja kwenye capital city? Anayetaka kujenga na ana uwezo ajenge government city Mtumba inaweza kuwa restricted ila financial districts si busara kuzilazimisha kutojenga majengo marefu! Tembea uone London, Frankfurt, Berlin hata Paris kuna section ya mji kuna majengo marefu!
 
uwezi ku-limit maghorofa marefu utakuwa una-limit multinational companies kuja what if wanahitaji ofisi nyingi kwenye jengo moja kwenye capital city? Anayetaka kujenga na ana uwezo ajenge government city Mtumba inaweza kuwa restricted ila financial districts si busara kuzilazimisha kutojenga majengo marefu! Tembea uone London, Frankfurt, Berlin hata Paris kuna section ya mji kuna majengo marefu!
Nimesema government city majengo ndio yawe mafupi lakini sehemu nyingine ni ruksa kujenga urefu wowote na pia sidhani kama Dom wana designated financial district kwenye plan zao.
 
Nimesema government city majengo ndio yawe mafupi lakini sehemu nyingine ni ruksa kujenga urefu wowote na pia sidhani kama Dom wana designated financial district kwenye plan zao.
inayo google utaona masterplan ya dodoma city!
 
Back
Top Bottom