joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Unapoingiza gari kupitia mipakani kawaida hakuna "storage costs", hata ukichelewa kwenda kulichukua sio Kama bandarini.Kama kuongea nao inamaanisha rushwa sawa ila gari mpya kuingiza Tanzania kupitia bandari za Tanzania au mipaka ya nchi kavu au airports bado kodi ni ileile.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app