Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe kichwa chako ni mbaya. Ni lazima mimi nifaidike ili remittance iwe na manufaa? Wakenya wengine wakifaidika na mimi nisifaidike basi remittance haina manufaa Kenya sio?
Remittances zinasaidia nini wakati wengi wenu mnakufa njaa pamoja na remittances kuonekana kuongezeka miaka ya hivi karibuni?
 
Wewe kichwa chako ni mbaya. Ni lazima mimi nifaidike ili remittance iwe na manufaa? Wakenya wengine wakifaidika na mimi nisifaidike basi remittance haina manufaa Kenya sio?
Jaribu kumuelezea mtu wa pale Kibera au Mathare umuhimu wa remittances kama hawajakutoa nduki [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Kabisa asifanye hivyo. Wacha waende hawa kitakachowapata mtasikia, tz this ,tz that!!
Hauwezi ukawa na EAC standby force and expect it to deliver maana the members wenyewe hawaaminiani. Tanzania needs to join a wider regional grouping possibly SADC or engage within the mandate of UN in order to bring a meaningful solution to DRC peace. Wasiojua diplomacy huwa wanakiherehere sana.
 
Tatizo ni kuchukua njia za panya. Watu wanastahili kusafiri kwa njia halali. Migrants wengine wanalipa human traffickers hata $2,000 ambayo ni pesa nyingi mno mpaka unajiuliza si hio pesa angetumia kuboresha maisha yake nyumbani badala ya kuhangaika hivyo? Lakini Spain nao wameonyesha racism na unyama wa hali ya juu. Hii inaonyesha ni jinsi gani wanawaona Waafrika ni kama mbwa tu.
Racism ndio nature ya watu weupe sio mzungu , mchina hata muhindi , nashang'aa nyinyi wakunya mnavyo wababaikia . And they don't trust us at all. Ukipata fursa ya kufanyakazi nao ndio utaamini . Halafu ukiweza kufanya jambo yeye kashindwa uwa inamuuma . Nishawahi fanyakazi na wa hungary , wahindi , waarabu na nyie wakunya nimexperience hiyo hali
 
Because you are stupid and low IQ can't match my point, how can you use data of almost ten years back to support your stupidity, had you ever written any academic paper in your life time?, can you use old data to support your point?.

I repeat, I am not stupid like you, if you can't provide most recent data, go and sleep. I have shown you how things have changed in recent years by giving you examples from two sectors, you can't even understand the importance of those two examples, how stupid you are?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
First, polish your English. It's wanting!
Secondly, you objected the data I gave saying it's not recent so I gave you the liberty to provide the most recent data which you haven't. If you can't provide recent data, then we'll stick to 0.6 as the nurse-to-patient ratio in your country until "new data" arrives. How about that bongolala?
 
wanaulizana maswali 🤣🤣
View attachment 2276963
Kama kuna mradi sijawahi unga mkono ni hii. It doesn't make any sense to spend that much to have two separate roads along that route, wakati pia kuna sgr along the same stretch. Kama ni kupanua the existing road into four lanes hapo ni sawa, lakini barabara mbili tofauti is a waste of resources
 
Kenya ukiwa presidential candidate unapewa top level security na resources by the government. Bongo opponents hawapewi kitu, hata kuweka billboards CCM hawawezi kubali. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Take Notes.

Image
Wewe kichaa hiyo hapo kwa picha ndo top level security kwa Kenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dongokundu's Mteza Bridge at 1.44km long.! at a cost of ksh28B ($240M), will stand be the longest spanning and the most expensive bridge in east and central africa.


comparison btw Tanzanite Bridge and Mteza Bridge


Tanzanite Bridge in Dar, which is religiously popular in Tz is 1.03km long at $121M


Mteza Bridge loading......................
Screenshot_20220630-015426_YouTube.jpg
Screenshot_20220630-015554_YouTube.jpg
Screenshot_20220630-020113_YouTube.jpg
Screenshot_20220630-015926_YouTube.jpg
Screenshot_20220630-020248_YouTube.jpg
 
Danganyikan ombaomba wanatusumbua Kenya. Wanatamsni sana hela ndefu ya Kenya. Warudishe umaskini DanganyikaView attachment 2277022
this impoverished tanganyikans will falsely depict kenyan image look like a Least-Developed-Country to the West, and yet in the real sense we are a FrontierMarket or an EmergingMarket....

damn this danganyikans.!!!! rudini kwenyu. mnatuchafulia nchi

Screenshot_20220630-031601_Chrome.jpg
Screenshot_20220630-031039_Chrome.jpg
Screenshot_20220630-031136_Chrome.jpg
Screenshot_20220630-031221_Chrome.jpg
Screenshot_20220630-031312_Chrome.jpg
Screenshot_20220630-031420_Chrome.jpg
Screenshot_20220630-031453_Chrome.jpg
 
Kama kuna mradi sijawahi unga mkono ni hii. It doesn't make any sense to spend that much to have two separate roads along that route, wakati pia kuna sgr along the same stretch. Kama ni kupanua the existing road into four lanes hapo ni sawa, lakini barabara mbili tofauti is a waste of resources
Wewe ulitaka wapigaji wakale wapi?
 
Dongokundu's Mteza Bridge at 1.44km long.! at a cost of ksh28B ($240M), will stand be the longest spanning and the most expensive bridge in east and central africa.


comparison btw Tanzanite Bridge and Mteza Bridge


Tanzanite Bridge in Dar, which is religious worshiped in Tz is 650m long at $121M


Mteza Bridge loading...................... View attachment 2277016View attachment 2277017View attachment 2277018View attachment 2277019View attachment 2277021
Unfortunately just a basic bridge design [emoji28]
 
Unfortunately just a basic bridge design [emoji28]
“Basic,” yet it still serves its purpose. I think design is determined by how much you have in the pockets, geographic factors, and urban planning. Planners & engineers don’t opt for cable stayed/suspension bridges just because they want their projects to be aesthetically pleasing!
 
Dongokundu's Mteza Bridge at 1.44km long.! at a cost of ksh28B ($240M), will stand be the longest spanning and the most expensive bridge in east and central africa.


comparison btw Tanzanite Bridge and Mteza Bridge


Tanzanite Bridge in Dar, which is religious worshiped in Tz is 650m long at $121M


Mteza Bridge loading...................... View attachment 2277016View attachment 2277017View attachment 2277018View attachment 2277019View attachment 2277021
Your stats ain’t right. Tanzanite bridge is 670 meters high and 1.03km long!

And before you get too excited, the Kigogo-Busisi bridge will span 3.2 kilometers upon completion.
 
Remittances zinasaidia nini wakati wengi wenu mnakufa njaa pamoja na remittances kuonekana kuongezeka miaka ya hivi karibuni?
Remittance imezuia njaa kwa kusaidia maelfu ya familia kupata pesa ya kununua chakula. Mbona wewe ndio unatoa points za kijinga siku hizi kwenye huu uzi? Familia ngapi zinapata chakula kupitia remittance?-maelfu. Watoto wangapi wanapata karo ya shule kupitia remittance?-maelfu. Familia ngapi zinapata pesa ya matibabu kupitia remittance?-maelfu. Viwanja vingapi vimenunuliwa na majumba mangapi yamejengwa kupitia remittance?-maelfu. Sasa leta tena point yako ya kipumbavu kwamba remittance ya $3.7 billion kwa mwaka mmoja haiisaidii uchumi wa Kenya. Hio ni pesa nyingi kushinda gold revenue ya Tanzania ya $3.6 billion. Njoo kwa ground uone kazi ambayo remittance inafanya ndio upunguze ushamba wako huo.

Cc joto la jiwe
 
Back
Top Bottom