Alshababu waje mara ya pili huku tena thubutu? Walichezea kibano mpaka wakasahau njia ya kurudia wakajikuta wanaelekea mozambique wako huko mpaka leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa mwendo huu itabidi tutume Al shabab huko Tanzania wafanye mambo yao ili kupunguza kasi hii.
Mpitwe mara 2 tena? ndio imetoka hiyo.This time hakutakuwa na vita katika uchaguzi. Vita vya 2007 vilifanyika kwa sababu hatukuwa tunategemea vita vitokee. Ilitokea kama surprise tu. This time vyombo vya dola vipo macho kuzuia machafuko. Lakini kasi ambayo mnakuja nayo kwenye sector ya utalii sio fair hata kidogo. Mimi naona itabidi tupange mambo yafanyike huko ili kupunguza kasi hii. Hatukubali kamwe kupitwa namna hii.
Hiii ni Ile gari ya kampala tour city ride hapo Lugogo???🤣🤣🤣Ona kama ulaya mwanangu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2274289View attachment 2274290View attachment 2274291
Sisi tuna capital inayojitosheleza no need for additional capital 100% locally owned companies. Capital formation peleka Kunyaland huko kwa mediocre capitalists wachangia kibubu.Umegonga ndipo, exactly. [emoji23] [emoji23]
Kichwa ya ngombe kazini, hamna habari kabisa na global warming kitu inatoa hewa ya ukaa na kukojoa diesel na oil njia nzima from mombasa to kichakani.
Global warming is a hoaxKichwa ya ngombe kazini, hamna habari kabisa na global warming kitu inatoa hewa ya ukaa na kukojoa diesel na oil njia nzima from mombasa to kichakani.
Unaongea ujinga na nyie mumeshindwa kumaliza kapiece ka 200 km miaka mitatu baada ya deadline ya November 2019?Kichwa ya ngombe kazini, hamna habari kabisa na global warming kitu inatoa hewa ya ukaa na kukojoa diesel na oil njia nzima from mombasa to kichakani.
Hii yo video inaonyesha only one mansion in and out 👇. Hakuna villas humu zinazoonekana in the whole vide.. ndio mana nikaweka na hii picha 👇View attachment 2274574hii sio video ya that's yule Nigerian YouTuber yaani hii 👇.
Sawa sawa bongolala. Now that you've spoken the truth, kesho utaamka upate umeondokewa na maisha ya uchochole na uswazi ya DarMore than than those who reside at Kibera, the issue is, despite the reality that Kibera accomodates more than 2.5 millions of slum dwellers but it's so overrated, there are many places in Kenya especially in ka Nairobi which are bigger slumish area than kibera.
Punguza hasira basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiii ni Ile gari ya kampala tour city ride hapo Lugogo???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]