The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Wewe twende na mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi usiniltee maumivu yako bro. I haven't come begging on your streets [emoji23] [emoji23]
Wewe twende na mimi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi usiniltee maumivu yako bro. I haven't come begging on your streets [emoji23] [emoji23]
I already showed you this bongolalaHeheheheeee ground imekushinda eehh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwasababu ground imekushinda sasa tufanye hivi, niletee documented fact inayotambua kwamba Tandale ni slum [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]I already showed you this bongolala
Githurai "slum"
View attachment 2272852
Tandale middle-class area View attachment 2272853
Andika basi uweke kwamba Kenya ndio inaongoza kwa ufukara hapa EADocuments facts .? 😂😂😂 Maandishi hayo hata mimi naweza andika brathee, njoo Tz uone ukweli kwa macho yako, then ujue vile we are not of your low level bro
😂😂 Akileta ground level za vipicha vya kuokota google atakimbia humu leo, by the way naishi Sinza, hapo tandale ni mtaa wa tatu tu nashuka hapo now nimnyooshe mbwa huyo, na hiv leo nipo free tuHeheheheeee ground imekushinda eehh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ground ni nini bongolala kizee?Kwasababu ground imekushinda sasa tufanye hivi, niletee documented fact inayotambua kwamba Tandale ni slum [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ground ni hii Mkalee [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ground ni nini bongolala kizee?
Nakukubali. [emoji109][emoji109]Hakuna haja ya kumu ignore hawa kuna jinsi ya kutembea nao, wewe tulia nampa dose nzr saizi utasikia kilio, tafadhali kaa mbali damu zisije kukurukia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe chizi unaamini kwamba Tanzania hakuna wizi kwenye supermarkets? Unafikiri Watanzania wote ni malaika wa mbinuni sio?
Sina hiyo time mimi, ila mwenye kuona na aone, uje ujionee, "kuona ni kuamini", usiamini kila maandishi zingine ni propaganda tu, njoo uone vile maskini wa Tanzania anamiliki mifugo, mashamba n.k... huko kwenu maskini wa mwisho ni yule anaekufa kwa kukosa maji na chakula.. huwezi sikia ujinga huo Tanzania Bro, alafu mjitathmini sasa ni nani Kati yetu ni fukara wa kutupaAndika basi uweke kwamba Kenya ndio inaongoza kwa ufukara hapa EA
Shida ni kwamba kiswahili hukijui vizuri, hapo hakuna kosa lolote la kisarufi.Kwa nini nyie pia mnatumia neno "chenye" halafu sisi tukikitumia mnasema kwamba hilo sio kiswahili sanifu? joto la jiwe wewe ndio una tabia hii ya kusema "chenye" sio kiswahili sanifu.
Hiyo ni mada ya upatanisho wa kisarufi, ndio mana huwa nawataniaga nyie jamaa mkaombe ada zenu kwa walimu waliowandisha Kiswahili..Kwa nini nyie pia mnatumia neno "chenye" halafu sisi tukikitumia mnasema kwamba hilo sio kiswahili sanifu? joto la jiwe wewe ndio una tabia hii ya kusema "chenye" sio kiswahili sanifu.
Kumbe nawe unaishi uswazini 😂 😂😂😂😂😂😂 Akileta ground level za vipicha vya kuokota google atakimbia humu leo, by the way naishi Sinza, hapo tandale ni mtaa wa tatu tu nashuka hapo now nimnyooshe mbwa huyo, na hiv leo nipo free tu
Hako KaNairobi unaokadharau ndio mji wa kipekee southern hemishere ambayo ina UN Headquarters. Kuna nchi nyingi sana south of the equator lakini Kenya ndio nchi pekee chini ya Equator yenye UN Headquarters. Kenya ndio nchi ya Pekee Africa, Asia, Carribean na South America yenye UN headquarters. Miji mingine yenye UN headquarters yapo US na Europe pekee. Asia haina UN Headquarters, vile vile South America haina UN headquarters. Carribean pia haina UN headquarters. Heshimu haka Kanairobi unaokadharau. Last week kalihost delegates kutoka nchi zote duniani kwenye UN Biodiversity conference.Ka Nairobi kazima kamejaa ma slums everywhere [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2272860
Hawa mbwa usiende nao kistaarabu mana wanakuzoea mapema alafu akishakuletea mazoea amaweka na kapicha kake anakokabadili angle zen anajitangazia ushindi, ukitaka kujua jinsi ya kutembea nao muangalie joto la jiwe ichoboy01 au chongchung utaelewa namaanisha nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakukubali. [emoji109][emoji109]
So hii lisala yako imebadili ukweli kwamba ka Nairobi kamezungukwa na slums?Hako KaNairobi unaokadharau ndio mji wa kipekee southern hemishere ambayo ina UN Headquarters. Kuna nchi nyingi sana south of the equator lakini Kenya ndio nchi pekee chini ya Equator yenye UN Headquarters. Kenya ndio nchi ya Pekee Africa, Asia na South America yenye UN headquarters. Miji mingine yenye UN headquarters yapo US na Europe pekee. Asia haina UN Headquarters, vile vile South America haina UN headquarters. Heshimu haka Kanairobi unaokadharau. Last week kalihost delegates kutoka nchi zote duniani kwenye UN Biodiversity conference.
View attachment 2272867
Asante kwa hii picha, Sama boy 255 basi acha bhn mtu keshajitia kidole huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe nawe unaishi uswazini [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2272865