The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Definition ya fukara ni yule asiyejiweza bila misaada, Kenya ina qualify kuitwa ni nchi fukara mana haijiwezi kwa lolote si kwa chakula wala miundombinu kila kitu inaomba, huko mbele mtachekesha mana hakuna nchi itatoa ufadhili wa chochote bila kuwa na chochote, na c mnajua ka nchi kenu hakana rasilimali?Nchi fukara ukanda huu inajulikana na hilo lipo wazi wala isitie shaka. And just to remind you, yes; your beggars come from far and wide