Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Bandari ya mtwara inazidi kupaa tuu
Jamaa ndio wanajisifu wana jeshi zuri lakini,al shabab wanaingia kwenue ardhi yao,na hata jeshi la ethiopia kuna kipindi uwa linaingia upande wa kenya na kutembeza kichapoYani wanafanya kama kwao, wakati bongo ukienda huko mtwara kwenye buffer zone alafu unatembea ovyo bila barua ya utumbulisho kutoka kwa mwenyekiti na mjumbe utaipata vizuri
Kifanyikacho mtwara wengi hawajui sababu JWTZ sio jeshi la show offYani uko mtwara paskie tuu broo mm nawashanga wakenya wanawachekea alshabab
Mwanza
Tanzanians are heavily spenders 🤔
Madereva wa Kenya wengi ni walevi wa chang'aa ajali nyingi zitatokea.Kitu kimepiga mzinga kwenye expressway ya mchina
Mchina kama kawaida yake ataoverprice ukaratabat hapo
Kitu kimepiga mzinga kwenye expressway ya mchina
Mchina kama kawaida yake ataoverprice ukaratabat hapo
I give you my word.If something was not just what I was thinking and being aware of,I will come back to you to say am sorry.Why would we stage a story/thory about Tanzania? To what benefit? Explain to me how that would help Kenya and Kenyans deal with their challenges.
Look man, Tanzania is not heaven on earth, don't expect it not to have its share of challenges. Even America has its own share of challenges to deal with.
Even right now, you still maintain that hamna maisha magumu sana while data zote za kimataifa zinasema nyinyi ndio mnaongoza kwa ufukara ukanda huu. Je, ripoti kama hizi pia zimekuwa stage-managed na Kenya? Stop blaming us for your problems man. Hata sisi pia tupo na changamoto zetu and we don't blame them on anyone
Hio ni rift valley escarpment unaita desert. Enyewe wewe ni mjinga. 🤣 🤣 🤣 🤣 Kuenda shule ni muhimu.
Kuna siku ulikuwa unafurahia overspeeding kwenye hiyo expressway!Hao madereva ni wajinga. Wao ndio watatoa fedha ya kukarabati hilo toll booth. Speed limit kwa hii expressway ni 80 km/h
Ngoja nisubiri nione ukweli wake uko vipi. Kama ni kweli kuna uzembe mahali fulani.I understand your pain. Just the same way sisi pia hatufurahii tukiona wenzetu wa kaskazini wakikosa chakula sababu ya ukame and the government is not doing enough to alleviate the suffering. Sema tu serikali zetu hazitilii mkazo maswala muhimu za kitaifa.
Lakini ukweli wa mambo ni kwamba kuna watanzania wapo kwenye mitaa na barabara za Kenya kama ombaomba. Sio eti ombaomba wote ni watanzania ila majority of them are Tanzanians
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Daah Alitaka apite bila kulipia nn
Ndio bado ninashangaa wametokea wapi? Mnawaacha tu waendelee kuomba wakati huku kwetu wanaondolewa?Upotoshaji upi wakati ni kweli kuna omba omba wengi kutoka Tanzania wamejaa Nairobi wakiomba omba pesa barabarani.
Wizara inayo deal na Sayansi na Technology ..iwe inatoa grants kwa startups na ideas ni investement nzuri..kuwe na grants za fund hata kuanza na Billion 5 kwa mwaka ku support kukuza technology na startup firms
Kwani wanaelewa hayo wenyewe wanachojua ni kufungia nyimbo za wasanii tuu na kupandisha gharama za dataWizara inayo deal na Sayansi na Technology ..iwe inatoa grants kwa startups na ideas ni investement nzuri..kuwe na grants za fund hata kuanza na Billion 5 kwa mwaka ku support kukuza technology na startup firms
kule mywara shughuli ilishaisha wapambanie kwaoYani uko mtwara paskie tuu broo mm nawashanga wakenya wanawachekea alshabab
I understand your pain. Just the same way sisi pia hatufurahii tukiona wenzetu wa kaskazini wakikosa chakula sababu ya ukame and the government is not doing enough to alleviate the suffering. Sema tu serikali zetu hazitilii mkazo maswala muhimu za kitaifa.
Lakini ukweli wa mambo ni kwamba kuna watanzania wapo kwenye mitaa na barabara za Kenya kama ombaomba. Sio eti ombaomba wote ni watanzania ila majority of them are Tanzanians
Inawezekana huenda kuna omba omba Tanzanians kunako Kenya lakini heb mjiulize maswali marahisi, huyo mtu he/she is just a omba omba, means them can't afford even bus fare, amevukaje boda kufika mpaka Nairobi Kenya.? (ukizingatia Nai haiko mpakani mwa Tz na Kenya), amepataje hati za kusafiria (kutengeneza passport hapo ni 300k Tz shillings ujue), amepataje residential permit.? After all kwanini msiwarudishe Tz kama ni watanzania au hao omba omba ni miradi ya watu hapo NAIROBI.? Ikiwa hapa Dar walishafukuzwa mara nyingi mno vipi huko ambako sio kwao (wahamiaji haramu) mnawaaacha.? Heb Angalia DAR kwa mfano 👇. Wanakamatwa hao wapuuzi wanaowaleta omba omba kutoka mikoani kuja kuomba omba DAR.. na manispaa ya Ilala imewahi kuweka adhabu kali kwa atakae kutwa anampa hela omba omba 300k Tz shillings au jela miezi sita👇. Kuomba omba ni suala linalopigwa vikali Tanzania hasa kwenye miji ya Pwani since sio tamaduni zetu Zanzibar for example 👇. Muelewa nyie watu na muache tabia za kishenzi za kufuata walemavu ili wakutafutieni hela kirahisi.. WAPUMBAVU NYIE WAKENYAUpotoshaji upi wakati ni kweli kuna omba omba wengi kutoka Tanzania wamejaa Nairobi wakiomba omba pesa barabarani.