Huyu journalist anasema kwamba Uganda iliexport gold worth $3 billion in 2019.
Hii site inasema kwamba Uganda iliexport gold worth $3.4 billion in 2020.
The world's leading data visualization tool for international trade data.
oec.world
Sasa swali ni je hizi gold zinatokea wapi kwa maana Uganda kwa sasa hawana gold mines kubwa? Hizi gold zitakuwa zinatokea DRC. Uganda wamediscover gold mining site yenye gold ores worth $12 trillion in western Uganda juzi lakini bado hawajaanza kuichimba. Sasa sijui kwa nini Mungu katusahau sisi Kenya kwenye suala la madini. Yaani kabisa Kenya hatuna madini, isipokuwa titanium ambayo inakwisha next year. Soda ash tunayo lakini haina thamani. Anyway, DRC, Uganda na Tanzania nyote mna dhahabu kwa wingi chini ya ardhi lakini bado nyote ni masikini kutushinda. Hapo ndio kuna kizungumkuti. Mungu hawezi kupatia kila kitu.