Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

reminds me so much when i was in los angeles 🤔🤔
Screenshot_20220623-151105_Chrome.jpg
 
Si poa kuitana negro, lakini pia nyie ni washenzi sana, mnakuanga busy mkituita monkey na kusema ngozi yetu ni nyeusi sana, mbona hamjiangaliii pia?

Kwani kuwa mweupe ndiyo ufahari!!?? Kwanza hakuna muAfrika mweupe.
 
Umewashwa, do you knw why uganda choppers crashed, pilot error fool, the army was communicating in luganda on kenyan territory, apples and mangoes bongolala
evidence? and what error was ur crash in Narok around Tanzanin border communicationg in Kikuyu to our radar communication around the area?
 
🤣 🤣 🤣 Umejitahidi Mkulungwa, Hadi ume freeze motion, Halafu mbona husahau, si tulisema siku nyingi, au tunasema kila siku hupigi picha😎
Megapixel ya Camera ya simu yangu ni wazimu mzee. Mimi nikinunua simu naangalia camera kwanza, vitu vingine baadaye. Gari ya Safari rally inakimbia zaidi ya 200 km/h lakini camera ya simu haipigi blurred images. Sija-freeze chochote ndugu. Halafu pia hakuna jua, ni cloudy, lighting ni poor lakini bado unaona kila kitu kinachofanyika.
IMG_20220623_144402.jpg
IMG_20220623_144404.jpg
IMG_20220623_144406.jpg
IMG_20220623_144540.jpg


Hii ni rally car ya Kenya, ina branding ya Safaricom
IMG_20220623_145608_1.jpg
IMG_20220623_145609.jpg
 
Back
Top Bottom