Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Ukitaja vumbi waga naikumbuka dodoma vumbistan capitalVinchi vingi vya West Africa including Senegal ni ushuzi mtupu, vumbi mtindo mmoja, haifai kulinganisha na EA.
Ukitaja vumbi waga naikumbuka dodoma vumbistan capitalVinchi vingi vya West Africa including Senegal ni ushuzi mtupu, vumbi mtindo mmoja, haifai kulinganisha na EA.
Sioni simulator hapo mm au hilo dude la nyuma ndiyo flight simulator? Btw now umekubali kwamba Tz tunayo na inakuja flight simulator b737?Ndio hio flight simulator ya KQ for Dash-8type ratings,wivu ya nini,i told you a flight simulator ya ratings , ni costly to buy maintain and operate, for a country like SA would make sense because they have serious flight schoolsView attachment 2268727
Yes, not for pilots, flight simulator ya pilots simulates a real aircraft with real world sceneries and airports,Si wewe ulisema hivi [emoji116][emoji116]au sio weweView attachment 2268726
Wengi wanajiuliza kwanini mama hajaenda kwenye mkutano wa juzi na wala akutuma pm wala vp akaenda balozi 😀Watu hamtakiwi na mnaletewa kila aina ya karaha lkn bado mnakuja tu, basi mvumilie mateso mnayoyapata na niwaambie tu Wakunya ni kwamba Watz wengi wameshaona wakunya ni washenzi na huu mkasa wa maasai ndio umezidi kuharibu so kifuatacho ni mateso zaidi kwa Wakunya ndani ya Tz.
Ndio nauliza hapa hilo dude la nyuma ndiyo flight simulator? Ukiona mkunya analeta mambo kwa kuficha ficha kama hivyo juwa kuna kauwongo ndani yake, hebu twende naye taratibu tutajua ukweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona lipo kama tunguli halina sura [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza wivu saaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]Yes, not for pilots, flight simulator ya pilots simulates a real aircraft with real world sceneries and airports,
Ngoja nikueleweshe, ukimaliza flight school that is ppl, cpl and multi rating for you to be able to fly any aircraft lazima uwe na minimum rating za that type of aircraft, kwa mfano 737-300 lazima uende shule ikona that flight simulator and learn to fly it for a number of hours, sasa hilo lidude hapo nyuma ndio yo use it to get those ratings, lets say unatoka from 737 to 767 lazima pia uingie kwa flight simulator to get the ratings, you cant touch an aircraft without having its rating hata kama ukona 20,000 hrs kwa one particular aircraft.i hope umeelewa, na mnilipe for free schooling[emoji1787]Sioni simulator hapo mm au hilo dude la nyuma ndiyo flight simulator? Btw now umekubali kwamba Tz tunayo na inakuja flight simulator b737?
Kwamba unakaa nje unaliangalia hilo dude tayari una ratings [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja nikueleweshe, ukimaliza flight school that is ppl, cpl and multi rating for you to be able to fly any aircraft lazima uwe na minimum rating za that type of aircraft, kwa mfano 737-300 lazima uende shule ikona that flight simulator and learn to fly it for a number of hours, sasa hilo lidude hapo nyuma ndio yo use it to get those ratings, lets say unatoka from 737 to 767 lazima pia uingie kwa flight simulator to get the ratings, you cant touch an aircraft without having its rating hata kama ukona 20,000 hrs kwa one particular aircraft.i hope umeelewa, na mnilipe for free schooling[emoji1787]
Mi nko ground msee. Nashangaa wadanganyika wanatamani kuja Nairobi hadi wanatuma picha fake ndo waonekane wako kanairo..nacheka tu [emoji23][emoji23]Mashashola picha zako wanajifanya hawazioni, leo umeamua kuingia groundy
Hawa wasee nikama wanafloat tu they think ni ya ratings[emoji1787]Leo nimejifunza Actl haina boeing certified plane simulator, yao ni toy ya kutrain cabin crews kama Air hostess na sweepers kama The best 007
Kwahiyo zile avionics ulizoona humu ni kwaajili ya cabin crew sio? You never fail to amaze.Yes, not for pilots, flight simulator ya pilots simulates a real aircraft with real world sceneries and airports,
Wacha kua zuzuKwahiyo zile avionics ulizoona humu ni kwaajili ya cabin crew sio? You never fail to amaze.
Ni priorities tu ..kama tunaweza kujenga SGR na JNHPP ni maamuzi tu ya ku investEAST AFRICANS huwa tunafeli wapi.? Wazee wa kujifu with two big cities ahead of ours .. see how Senegal is doing underground [emoji116]View attachment 2268674View attachment 2268675View attachment 2268676View attachment 2268677View attachment 2268679View attachment 2268682.. [emoji116].![]()
Namwona baba the fifth hapo.Mi nko ground msee. Nashangaa wadanganyika wanatamani kuja Nairobi hadi wanatuma picha fake ndo waonekane wako kanairo..nacheka tu [emoji23][emoji23]
View attachment 2268737
Wasivyokuwa na akili wameshaanza kimtibua mama wenyewe kwa kuzuia malori toka Tanzania na hili la wamasai wa ngorongoro. Kifuatacho ni kilio tuu.Wengi wanajiuliza kwanini mama hajaenda kwenye mkutano wa juzi na wala akutuma pm wala vp akaenda balozi [emoji3]
Ile ni bembea tu, ukienda two rivers utakuta imefungwa lolHawa wasee nikama wanafloat tu they think ni ya ratings[emoji1787]
Hizi levels ni nyingine kwa Afrika hata baadhi ya nchi za Europe na kule Far East. Wako vizuri sana hawa Egyptians.Egypt new mansoura City [emoji116]. Egypt new Alamein city [emoji116]. Cairo new administrative City [emoji116]. Huu mji utakua na 40,000 hotel rooms, 1250 mosques and churches, 90k seat stadium, 90 sq km of solar energy farm, 663 hospitals, 2,000 schools, International airport, tech and innovation Park, electric railway to link Cairo and more .. [emoji116]. Hizi level kwakweli hapana
leta zenyu za cabin crew tuone!Nilisema niza cabin crew and not for ratings, leteni mashine kama hiiView attachment 2268731
Ndani linakaa hivi, instructor huyo hapo nyuma anakumonitorMbona lipo kama tunguli halina sura [emoji23][emoji23][emoji23]