Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani ngoja niiweke kikenya ili wanielewe.

Yani tofauti ya ligi ya Tanzania na Kenya ni milioni 28 za kenya, mshindi wa kwanza Kenya anapata ksh 2mil wkt mshindi wa kwanza Tanzania anapata ksh 30mil
Na hapa nimeweka exchange rate ya Ksh 1/20Tzs mana pesa yao imeshuka thamani with respect to Tsh ila nikiweka ya 1ksh/22tsh inazidi hapo
 
Juzi nimeona bingwa wa Kenya akibeba kombe aisee kama ligi ya uchochoroni, jezi zimechoka, wachezaji wanaonekana wana njaa kweli kweli, no wonder players wa Kenya wote ndoto zao ni kucheza TPL.
 
Mm nakuambiaje Geza kama nitakufa alafu nitamkuta John pombe Joseph Magufuli jehanam basi na mm nitaongoza njia ya motoni mana kutakuwa hakuna maana ya kutenda wema duniani. Yani ufanye mema 100,000 upelekwe motoni kwa mabaya 10 tena mabaya yenyewe ni kwasababu hakuna jinsi lazima uyafanye. Sasa nakuambia JPM yupo peponi ila nikigundua yupo motoni basi mm ni miongoni mwao hao wanaoenda motoni.

Na kama nitagundua yupo motoni kipindi ambacho mm bado nipo duniani basi sitatenda mema tena, haitokuwa na maana.
Kumbe wewe jamaa ni mjinga kiasi hiki. Mpende binadamu mwenzako utakavyo lakini huwezi kujuwa matendo yake anayofanya kwa siri. Inawezekana kweli mema yake ni 100,000 na mabaya yake ni kumi lakini kila jema lina mizani yake na mabaya ni hivyo hivyo. Inawezekana hayo mabaya ingawa kidogo lakini yakawa na uzito mara 100 ya hayo mema yake,
 
Kumbe wewe jamaa ni mjinga kiasi hiki. Mpende binadamu mwenzako utakavyo lakini huwezi kujuwa matendo yake anayofanya kwa siri. Inawezekana kweli mema yake ni 100,000 na mabaya yake ni kumi lakini kila jema lina mizani yake na mabaya ni hivyo hivyo. Inawezekana hayo mabaya ingawa kidogo lakini yakawa na uzito mara 100 ya hayo mema yake,
Hana upeo huo! msamehe...!
 
Peleka upumbavu wako mbali yn mtu apambanie haki na maendeleo ya watu milioni 60 dhahiri shairi eti aende motoni kisa kamzingua mtu mmoja au watano ambao tunajua walikuwa na malengo binafsi, huyo Mungu wenu wenu pekeenu Zenji gang au?
sasa si ufe umfuate?
 
Tanzania is like a ball to Kenya tunacheza tunaye tunavyotaka


Unaropoka wakati wanaolalamika ni nyie Kunyaland?

Tutawanyoosha 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220617-195916.png
    Screenshot_20220617-195916.png
    79.3 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220617-195931.png
    Screenshot_20220617-195931.png
    46 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220617-195948.png
    Screenshot_20220617-195948.png
    44.7 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220617-200028.png
    Screenshot_20220617-200028.png
    43.8 KB · Views: 13
Nimerudi sasa. Wapi wale wachawi was Arusha? Leteni airport ya Arusha kama mko na makende.


20220613_153532.jpg
20220613_153625.jpg
20220613_153527.jpg
 

Attachments

  • 20220613_153532.jpg
    20220613_153532.jpg
    724.5 KB · Views: 14
Back
Top Bottom