The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Yani tofauti kati ya ligi ya Kenya na Tz ni milioni 560 za kitanzania 
































League ya jirani ni sawa na zile league za ndondo cup za mtaani 😂😂😂Difference ni Tsh 560mil![]()
Yani ngoja niiweke kikenya ili wanielewe.League ya jirani ni sawa na zile league za ndondo cup za mtaani![]()









Na hapa nimeweka exchange rate ya Ksh 1/20Tzs mana pesa yao imeshuka thamani with respect to Tsh ila nikiweka ya 1ksh/22tsh inazidi hapoYani ngoja niiweke kikenya ili wanielewe.
Yani tofauti ya ligi ya Tanzania na Kenya ni milioni 28 za kenya, mshindi wa kwanza Kenya anapata ksh 2mil wkt mshindi wa kwanza Tanzania anapata ksh 30mil![]()

























Kumbe wewe jamaa ni mjinga kiasi hiki. Mpende binadamu mwenzako utakavyo lakini huwezi kujuwa matendo yake anayofanya kwa siri. Inawezekana kweli mema yake ni 100,000 na mabaya yake ni kumi lakini kila jema lina mizani yake na mabaya ni hivyo hivyo. Inawezekana hayo mabaya ingawa kidogo lakini yakawa na uzito mara 100 ya hayo mema yake,Mm nakuambiaje Geza kama nitakufa alafu nitamkuta John pombe Joseph Magufuli jehanam basi na mm nitaongoza njia ya motoni mana kutakuwa hakuna maana ya kutenda wema duniani. Yani ufanye mema 100,000 upelekwe motoni kwa mabaya 10 tena mabaya yenyewe ni kwasababu hakuna jinsi lazima uyafanye. Sasa nakuambia JPM yupo peponi ila nikigundua yupo motoni basi mm ni miongoni mwao hao wanaoenda motoni.
Na kama nitagundua yupo motoni kipindi ambacho mm bado nipo duniani basi sitatenda mema tena, haitokuwa na maana.
Hana upeo huo! msamehe...!Kumbe wewe jamaa ni mjinga kiasi hiki. Mpende binadamu mwenzako utakavyo lakini huwezi kujuwa matendo yake anayofanya kwa siri. Inawezekana kweli mema yake ni 100,000 na mabaya yake ni kumi lakini kila jema lina mizani yake na mabaya ni hivyo hivyo. Inawezekana hayo mabaya ingawa kidogo lakini yakawa na uzito mara 100 ya hayo mema yake,
Peleka upumbavu wako mbali yn mtu apambanie haki na maendeleo ya watu milioni 60 dhahiri shairi eti aende motoni kisa kamzingua mtu mmoja au watano ambao tunajua walikuwa na malengo binafsi, huyo Mungu wenu wenu pekeenu Zenji gang au?Hana upeo huo! msamehe...!
This is not a market but a cultural center.We fala nn, Kipoison ina soko kama hili, the state of artView attachment 2263997View attachment 2263998View attachment 2263999View attachment 2264000
sasa si ufe umfuate?Peleka upumbavu wako mbali yn mtu apambanie haki na maendeleo ya watu milioni 60 dhahiri shairi eti aende motoni kisa kamzingua mtu mmoja au watano ambao tunajua walikuwa na malengo binafsi, huyo Mungu wenu wenu pekeenu Zenji gang au?
Kila chenye uhai kitakufa kwa wakati wake hata ww utakufa utake usitake.sasa si ufe umfuate?
Sihitaji msamaha kutoka kwako, onesha kama hyo from kisumu village.This is not a market but a cultural center.
Arusha hakuna soko acha kulazimisha vitu. Sasa nimerudi vizuri, twende ground.Sihitaji msamaha kutoka kwako, onesha kama hyo from kisumu village.
Tanzania is like a ball to Kenya tunacheza tunaye tunavyotaka
Kwanza kubali hapa co Tz ili tuendelee kwasababu siwezi ku argue na mtu muongo, so kubali hapa uliongopaSinza mtaa ya middle class barabara pia ni shamba, aibu kubwa hii ndio barabara inaenda school of law.![]()
![]()
![]()
The best 007

