Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe wewe jamaa ni mjinga kiasi hiki. Mpende binadamu mwenzako utakavyo lakini huwezi kujuwa matendo yake anayofanya kwa siri. Inawezekana kweli mema yake ni 100,000 na mabaya yake ni kumi lakini kila jema lina mizani yake na mabaya ni hivyo hivyo. Inawezekana hayo mabaya ingawa kidogo lakini yakawa na uzito mara 100 ya hayo mema yake,
Haya ni mawazo yatokayo kwenye kichwa kisicho na elimu .. dini inatufundisha "ukitenda ovu lifuatishe kwa Jema litafuta, na changamana na watu kwa tabia njema" kama ni hivyo basi, vip wewe useme kwamba mtu anaweza fanya mema 100k lakini yakazidiwa na mabaya 100.. you must be ignorant, karibu darasa huru utoe huo ujinga
 
Haya ni mawazo yatokayo kwenye kichwa kisicho na elimu .. dini inatufundisha "ukitenda ovu lifuatishe kwa Jema litafuta, na changamana na watu kwa tabia njema" kama ni hivyo basi, vip wewe useme kwamba mtu anaweza fanya mema 100k lakini yakazidiwa na mabaya 100.. you must be ignorant, karibu darasa huru utoe huo ujinga
Mpumbavu huyo Zenji gang namsubiri arudi aone cha moto.
 
Yaani jamaa ni mtupu kichwani kuliko maelezo! We angalia mara a-introduce kodi mara atoe, trial and error style! Yaani yuko incompetent kuliko maelezo! Sijui mtu kama huyu anaweza kuja na sound economic plans!
Toll roads ziko maeneo mengi Africa ikiwemo Senegal,Kenya,South Africa nk..

Lipa Kodi hakuna msalia mtume
 
Wewe kituko ukiombwa ulete CBD na residential areas unakimbilia masoko na airport 😂😂 ikiwa punde tu ulikua ukiishia nyau Tabora kwa kipoison CBD 😂😂
Acha uoga, kwani masoko na airport are not not development?😂
 
Boss wake huwezi mlaumu anapokea mapendekezo! Sasa daraja lilipiwe halafu foleni itapungua? Na mbona toll-free highway Kibaha - Kimara isitumike kama advantage kwa Dar port kuongeza cargo handled?
Boss wake huwezi mlaumu anapokea mapendekezo! Sasa daraja lilipiwe halafu foleni itapungua? Na mbona toll-free highway Kibaha - Kimara isitumike kama advantage kwa Dar port kuongeza cargo handled?
Daraja la Nyerere kwani halilipiwi? Lipa Kodi hakuna maneno maneno,si mlikuwa mnawacheka Kunyaland humu?
 
Arusha is nothing to Kisumu. I need any sane Tanzanian to show us developments like these in Arusha.

1655492251287.jpg
1655492258106.jpg
1655492258106.jpg
1655492241313.jpg
1655492234129.jpg
1655492279793.jpg
 
Back
Top Bottom