The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Lipa Kodi hakuna kuchekeana msimu huu..Huu ni unyanyasaji sasa kwa wananchi kila kitu kiwe kulipia lipia tu,unafuu uko wapi kwa mwananchi kumpunguzia makali ya maisha?
Mnapenda Sana kudai huduma nzuri ila kulipa Kodi hamtaki..
Shikilia hapo hapo Mwigulu na hakikisha kila Mtanzania mwenye age kuanzia age 18 and above anakuwa na TIN namba 👇
