Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wivu, nionyeshe Public Children's hospital na IMIC hapo bongo nifunge account sahii. 🤣 🤣 🤣

Utaumia sana, zote zinajengwa according to renders.
1651593200140-png.3150242

275561902_4383415878425137_5778605033182939763_n-jpg.2968597
Watoe wapi? Ni wivu tu huwasumbua
 
Ila kwao huwa wanajenga vitu quality, alafu nilifikiri ndiyo wanatujengea cc hiyo nilishaanza kuchukia aisee.
Waseme wao kuwa na hii nayo ni choo maana mchina mwamba sana anawajengea stations kubwa ili aweze kuwapumbaza ili msiulizie quality ya SGR ila kwao wanajenga stations ndogo according to their demand.
 
Wakenya tayari wameshawasilisha kesi katika international court of Justice (ICJ) na kuishtaki serikali ya Tanzania kwa kukandamiza haki za kibinadamu za wamaasai wa Tanzania.

Yatawashinda Tanzania sio county ya Kenya, mnataka kuharibu utalii wetu maana kasi hii hamuiwezi hivyo mnatuletea choko2,kuogopa Royal tour inamwaga watalii na ninyi mpo hovyo na uchaguzi ndio huo hamuelewi.
 
Rwanda wapigwe sanctions na US na EU. Wanadestabilise DRC for no reason.
Kagame anapokea wakimbizi toka mataifa makubwa! sanction itangoja sana! Ndo maana hatuwacheleweshi na upuuzi wenyu Ngorongoro na Loliondo msije mkaja ku-claim hizo sehemu kama dalili zilivyoanza!

Hao watutsi wanaolazimisha integration FADRC walienda Eastern DRC kama wakimbizi leo hii wana guts za kuanzisha vita! Tunatoa masai wote mkose pa kufikia mbugani maana wameanza kuwa wasaliti kwa taifa! Halafu tuone mkikatiza!
 
Pia nawapongeza Wakunya kwa hii control center yenu ya diesel SGR japo sioni umuhimu wa mtungi wa chang'aa kukuwa na control center mixa window 7 nini. Look here every body, the most modern SGR control center in Africa (wamesema wao cku hz wana vitu bora Afrika nzima) View attachment 2251936
Mbona hao wote ni wachina!???..ina maana hakuna mkenya anayeweza kufanya hiyo kazi!
 
Back
Top Bottom