Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hongera sana Bro, Ila ukihitaji skimming plaster ya FINISH BORA na gypsum boards za KNAUF, KNAUF srews, KNAUF skimming tape, nipo hapa, utazipata kwa bei ya kiwandani kabisa kupitia mimi..
Na ndio maana construction industry ya Tanzania ni pana sana and wealthy kuliko kunyaland, wao wanalundikwa kwenye concrete slums kama pipeline, angalia kwenye slums zao

Maji ni mara 1 kwa mwezi 😅😅😅
Sasa jiulize wanaflash vipi kwenye nyumba kama hizi

 
Really?[emoji23][emoji23][emoji23] In 2020 December you posted the same pictures. So for one and a half year but hakuna progress imeendelea?[emoji23][emoji23]
Heheheheeee wivu utakuuwa, nimepost picha ya usiku huu au nipige nyingine sahizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukome kujilinganisha na watu waliokuzidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Who? Nijilinganishe na soja? Utangoja sana.
 
DCI

20220612_201013.jpg
20220612_201009.jpg
 
Back
Top Bottom