Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Hapo yuko kwa bodaboda anaitafuta Karen! Mwenzio anaweza ishia korokoroni hivyoo! Kule kuna mida ya kupita kajambanani!Nimecheka sana mtu anatoa ahadi ya kupiga picha nyumba yake![]()
Hapo yuko kwa bodaboda anaitafuta Karen! Mwenzio anaweza ishia korokoroni hivyoo! Kule kuna mida ya kupita kajambanani!Nimecheka sana mtu anatoa ahadi ya kupiga picha nyumba yake![]()
Kesho hio.. naona hapo kuna 'over 1 billion'..
Au wanaenda kupindua meza ya hii ishu 👇
Ngoja tuone











😂😂😂 Akipiga picha kwao tutamcheka anaogopa 😂😂😂Watu wanaogopa kupiga picha kwao, nadhani sasa mnaona watu tunao debate nao humu![]()
Kitambo kidogoAisee kuna Azam pesa siku hizi?
Same to you BroGud night![]()
Na Mobile company pia maana naona namba hapo?Kitambo kidogo
Bisha kwa data kijana maneno matupu hatutaki.There's no day your literacy will be above Kenya.
The word here was "the biggest" JKIA is over crowded and beyond its design capacity.JNIA is handling 2.5 M passengers in a year while JKIA us handling 8.3M in a year. So which one is busier than the other.
Sijazungumzia number of pax per annum inayotumia hiyo airport bali designed capacity ya JKIA ni 2.5m pax per year hence JNIA is the biggest.JKIA ilihandle zaidi ya 7 million passengers in 2019 kabla ya Corona kuja.
Wewe unazungumza kirahisi rahisi wakunya wanakusikia hapa majority mpaka vipara vimewatoka hata kibanda cha mabati hawana.Ila nikijenga nyingine nitakutafuta mkuu.
Estim wanajenga pedestrian bridge pale aga khan hospital , zina link hospital zao . Jamaa kazi quality ni kubwa mno
Nyerere alifanya kazi kubwa sana hapo nyuma kisomo cha watu wazima walimu wa UPE pia najua vijana wengi hawajui haya mambo ndio maana mnabisha bila ushahidi.Unfortunately, hata Kwa literacy rate bado Kenya inatutangulia. I know that you’re being patriotic, but speak the truth.