Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kimara-Kibaha Highway kitu kimejengwa na indigenous company! Linganisha na Thika Highway by Chinese haina lane markings, na exits zimekaaa kikunyakunya! Mchina anawabeba na anawajenga Wakunya ujinga! And unfortunately, always!
Estim wanajenga pedestrian bridge pale aga khan hospital , zina link hospital zao . Jamaa kazi quality ni kubwa mno
 
Hivi jamani picha za nyumbani kwako mpk utoe ahadi? Kwani sahizi saa ngp kama c usiku huu, si inabidi mtu uwe nyumbani? Haya piga picha za kwako sahizi weka hapa tuone
Mimi namshinda huku napost getto ninalolala kwa usiku huu nikiwa zangu Runzewe 😂😂👇
IMG_20220612_215127_298.jpg
yeye ni picha ya nyumba yake lakini eti mpaka atoe ahadi ya kupost 😂😂 ilihali yeye yupo ndani sahii
 
Back
Top Bottom