Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa Wakenya wallahi ni maskini sn yn vimaendeleo vidogo tu nilivyopost wameduwaa, je wakipost Watz wenye mkwanja humu wenye majumba yao c watazimia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kimara-Kibaha Highway kitu kimejengwa na indigenous company! Linganisha na Thika Highway by Chinese haina lane markings, na exits zimekaaa kikunyakunya! Mchina anawabeba na anawajenga Wakunya ujinga! And unfortunately, always!
Estim wanajenga pedestrian bridge pale aga khan hospital , zina link hospital zao . Jamaa kazi quality ni kubwa mno
 
Vitu vizuri havitaki haraka, hata wewe nitakutag
Hivi jamani picha za nyumbani kwako mpk utoe ahadi? Kwani sahizi saa ngp kama c usiku huu, si inabidi mtu uwe nyumbani? Haya piga picha za kwako sahizi weka hapa tuone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi jamani picha za nyumbani kwako mpk utoe ahadi? Kwani sahizi saa ngp kama c usiku huu, si inabidi mtu uwe nyumbani? Haya piga picha za kwako sahizi weka hapa tuone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namuona Coco reborn a.k.a Coco Master akitafuta nyumba usiku huu apige picha atupie humu, ila leo nimegundua Wakenya wengi wa humu ni fukara sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi jamani picha za nyumbani kwako mpk utoe ahadi? Kwani sahizi saa ngp kama c usiku huu, si inabidi mtu uwe nyumbani? Haya piga picha za kwako sahizi weka hapa tuone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi namshinda huku napost getto ninalolala kwa usiku huu nikiwa zangu Runzewe 😂😂👇
IMG_20220612_215127_298.jpg
yeye ni picha ya nyumba yake lakini eti mpaka atoe ahadi ya kupost 😂😂 ilihali yeye yupo ndani sahii
 
Mimi namshinda huku napost getto ninalolala kwa usiku huu nikiwa zangu Runzewe [emoji23][emoji23][emoji116]View attachment 2258773yeye ni picha ya nyumba yake lakini eti mpaka atoe ahadi ya kupost [emoji23][emoji23] ilihali yeye yupo ndani sahii
Nimecheka sana mtu anatoa ahadi ya kupiga picha nyumba yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watu wanaogopa kupiga picha kwao, nadhani sasa mnaona watu tunao debate nao humu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom